Sifa za kujiunga na information technology

Tibman

New Member
Oct 13, 2012
2
1
Vp hali jamani ilikua nataka kujua ,sifa unazotakiwa uwe nazo kama unataka kujiunga na it ngazi ya cheti kwa vyuo vilivyopo dar es salam
 
Je diploma ?

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Vip kama una principle ya chem halafu BAM (basic applied math) una F?
unapata ila inategemea olevel kama ulipata angalau D.kuna jamaa yangu alipata f ya bam na s ya chem na e ya biology alipata pale udsm diploma
 
Kwa Mujibu wa NACTE Ngazi ya Cheti minimum kwa qualifications ni kuwa na D nne, ila kama ni kufanya hivyo ICT nafkiri ktk hizo D mojawapo iwe ya Hesabu. pitia web ya NACTE ama vyuo husika kwa ufafanuzi zaidi
 
Kwa Mujibu wa NACTE Ngazi ya Cheti minimum kwa qualifications ni kuwa na D nne, ila kama ni kufanya hivyo ICT nafkiri ktk hizo D mojawapo iwe ya Hesabu. pitia web ya NACTE ama vyuo husika kwa ufafanuzi zaidi
Vp kuhusu ajira zake
 
Back
Top Bottom