Imetokea jana maeneo ya magomeni barabara ya magomeni kondoa.
Jamaa alikuwa anaendesha gari kwa mwendo mkali, fujo, mbwembwe huku akiliyumbisha barabarani.
Kaenda hivyo huku akiwakosakosa watembea kwa miguu na magari mengine, hatimaye akatumbukia mtaroni.
Goodrich kwa kweli usingeweka hii picha ningejuwa unamsema jamaa yangu mmoja kilichomtokea jana ni same story na hiki ulichokishuhudia, tofauti tu kwamba yeye alituingiza hasara kumchangia pesa kulipa gari ya mtu mwingine ambayo aliigonga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.