Kama una malengo ni sehemu nzuri kwa investments, ardhi ipo ya rutuba, imepakana na mbuga ya katavi national park, reli ipo, kuna migodi ya dhahabu na shaba kwa ssa, wanalima pia tumbaku.
Hali ya hewa huwa ni ya joto kama dar kwa kipindi kirefu.
Wageni wengi huwa wanaingia na kutoka huko kutokana na vitu nilivyotaja hapo juu.
Ukifika usisahau kutafuta ardhi ujenge, kwani ni wilaya inayoibukia kiuchumi.