Sifa ya vijana wa Kitanzania

Sifa ya vijana wa Kitanzania

The Initiator huru

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2017
Posts
2,326
Reaction score
3,202
B. Kwa vijana wakiume
1. Yuko tayari kubishana na hata kupigana kisa Simba na Yanga
2. Yuko tayari kubishana na kupigana hata kisa Daimond na Alikiba
3. Yuko tayari kulala njaa aende kwenye fiesta akaambiwe uko tayari, nyoosha mikono juu, mara kushoto kulia etc.
4. Yuko tayari kumuomba mtu hela ya pombe na sio ya chakula
5. Yupo tayari kukosa kodi ya nyumba ama kutokula akabeti au kucheza kamari

B. Vijana wa kike
1. Muda mwingi yuko Instagram, Tinder, Badoo, Facebook etc akibadilisha picha tu
2. Muda mwingi anapambana na Whatsap status kuliko hata kufikiria maisha yake ya baadaye
3. Anawaza ampige nani mzinga wa kusuka, kununua dera la kusutia, mafuta/lotion (hapa ndio chimbuko la nikuombe kitu....)
4. Anawaza kula vyakula vya bei ghali wakati hana ata buku mfukoni ila anabando tuu tena alipiga mtu mzinga
5. Hawanaga nauli, vocha, hela za kula January to December
6. Akitongozwa na mwanaume analeta nyodo alafu wanakimbilia kwa wachungaji kuomba mume mwema/mchumba
7. Ukimtongoza leo saa nane sa tisa hana vocha, sa kumi mama yake mgonjwa, kesho kodi ya nyumba imeisha ijumaa hana hela ya kusuka, Jumamosi hana heya ya vikoba,
8. Wanataka wanaume wenye hela +gari wakati yeye anamiliki tu smart phone madera na begi la nguo kabati, sabufa, tv na kapeti

Mdau ongezea nyingine mimi nitaongezea nyingine panapo majaliwa. Povu RUKRSA
 
7. Ukimtongoza leo saa nane sa tisa hana vocha, sa kumi mama yake mgonjwa, kesho kodi ya nyumba imeisha Ijumaa hana hela ya kusuka, jumamosi hana heya ya vikoba.
😂 😂 😂 😂 😂
8. Wanataka wanaume wenye hela +gari wakati yeye anamiliki tu smart phone madera na begi la nguo kabati, sabufa, tv na kapeti
😂😂😂😂😂😂
 
B. Kwa vijana wakiume
1. Yuko tayari kubishana na hata kupigana kisa Simba na Yanga
2. Yuko tayari kubishana na kupigana hata kisa Daimond na Alikiba
3. Yuko tayari kulala njaa aende kwenye fiesta akaambiwe uko tayari, nyoosha mikono juu, mara kushoto kulia etc.
4. Yuko tayari kumuomba mtu hela ya pombe na sio ya chakula
5. Yupo tayari kukosa kodi ya nyumba ama kutokula akabeti au kucheza kamari

B. Vijana wa kike
1. Muda mwingi yuko Instagram, Tinder, Badoo, Facebook etc akibadilisha picha tu
2. Muda mwingi anapambana na Whatsap status kuliko hata kufikiria maisha yake ya baadaye
3. Anawaza ampige nani mzinga wa kusuka, kununua dera la kusutia, mafuta/lotion (hapa ndio chimbuko la nikuombe kitu....)
4. Anawaza kula vyakula vya bei ghali wakati hana ata buku mfukoni ila anabando tuu tena alipiga mtu mzinga
5. Hawanaga nauli, vocha, hela za kula January to December
6. Akitongozwa na mwanaume analeta nyodo alafu wanakimbilia kwa wachungaji kuomba mume mwema/mchumba
7. Ukimtongoza leo saa nane sa tisa hana vocha, sa kumi mama yake mgonjwa, kesho kodi ya nyumba imeisha ijumaa hana hela ya kusuka, Jumamosi hana heya ya vikoba,
8. Wanataka wanaume wenye hela +gari wakati yeye anamiliki tu smart phone madera na begi la nguo kabati, sabufa, tv na kapeti

Mdau ongezea nyingine mimi nitaongezea nyingine panapo majaliwa. Povu RUKRSA
Mule mule
 
....wanapenda sana kushusha kaptula zao, ovyo ovyo.
 
Kwa ufupi vijana wengi uzee wetu tutakuwa sehemu mbaya sana kwa sababu misingi mizuri ya kutengeneza kesho iliyo bora inaandaliwa leo, lakini kundi kubwa hatuna habari japo serikali nayo inachangia
 
tangu asubuhi Hadi saa mbili ucku wapo radhi wajae kwenye ofisi za TFF kujua hatma ya Morrison....
Siwafokei lkn
 
B. Kwa vijana wakiume
1. Yuko tayari kubishana na hata kupigana kisa Simba na Yanga
2. Yuko tayari kubishana na kupigana hata kisa Daimond na Alikiba
3. Yuko tayari kulala njaa aende kwenye fiesta akaambiwe uko tayari, nyoosha mikono juu, mara kushoto kulia etc.
4. Yuko tayari kumuomba mtu hela ya pombe na sio ya chakula
5. Yupo tayari kukosa kodi ya nyumba ama kutokula akabeti au kucheza kamari

B. Vijana wa kike
1. Muda mwingi yuko Instagram, Tinder, Badoo, Facebook etc akibadilisha picha tu
2. Muda mwingi anapambana na Whatsap status kuliko hata kufikiria maisha yake ya baadaye
3. Anawaza ampige nani mzinga wa kusuka, kununua dera la kusutia, mafuta/lotion (hapa ndio chimbuko la nikuombe kitu....)
4. Anawaza kula vyakula vya bei ghali wakati hana ata buku mfukoni ila anabando tuu tena alipiga mtu mzinga
5. Hawanaga nauli, vocha, hela za kula January to December
6. Akitongozwa na mwanaume analeta nyodo alafu wanakimbilia kwa wachungaji kuomba mume mwema/mchumba
7. Ukimtongoza leo saa nane sa tisa hana vocha, sa kumi mama yake mgonjwa, kesho kodi ya nyumba imeisha ijumaa hana hela ya kusuka, Jumamosi hana heya ya vikoba,
8. Wanataka wanaume wenye hela +gari wakati yeye anamiliki tu smart phone madera na begi la nguo kabati, sabufa, tv na kapeti

Mdau ongezea nyingine mimi nitaongezea nyingine panapo majaliwa. Povu RUKRSA
Hataki kuolewa na masikini
 
Kijana ana bet akiamini atawin mchezo apate pesa awe tajiri.
 
Fupisha thread sema tunapenda starehe kuliko kazi na hi ndo sababu kimeharibiki hiki kizazi.
Mtu anataka awe na brevis, chumba Cha 300,000 Kodi ya mwezi na Bado hajishughulishi ana miaka 33 na watoto kazalisha wanaletwa home kwa dingi walee wote.
 
Back
Top Bottom