Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 6,377
- 15,175
Kijana unaeishinda humuJF ukisifia kwa mapambio mbalimbali, hiyo sio tiketi ya wewe kupata nafasi yoyote serikalini au uongozi wowote serikalini, hizi ndio sifa kuu mbili zitakazoweshesha kukwaa uteuzi;
Sifa ya kwanza uwe na mchango wowote kwenye jamii yako, yaani jamii inufaike kwa uwepo wako, hapa nazungumzia matendo mema unayoifanyia jamii au uliyofanyia jamii mfano lissu ni mwanasiasa ambae kwa namna moja au nyingine jamii iliweza kunufaika kwa uwepo kuto kana Na huduma zake za kisheria kwa watu mbalimbali.
Sifa ya kwanza uwe na mchango wowote kwenye jamii yako, yaani jamii inufaike kwa uwepo wako, hapa nazungumzia matendo mema unayoifanyia jamii au uliyofanyia jamii mfano lissu ni mwanasiasa ambae kwa namna moja au nyingine jamii iliweza kunufaika kwa uwepo kuto kana Na huduma zake za kisheria kwa watu mbalimbali.
Sifa ya pili uwe unajitambua na akili timamu, nadhani nikisema akili timamu mnanielewa wakuu 😀😀😀 n