Siendi Arusha


Hoja yako ni nini hasa Mkuu?
 

na usije kabisa arusha
 
Jibu swali au acha.Usiulize swali kwa swali
Unajua katika maisha yangu, kila ninapokumbana na situation kama hii huwa inanikumbusha ule usemi maarufu wa Mwl. Nyerere aliposema "Mtu mwenye akili akijua kuwa na wewe una akili akakuuliza swali la kipumbavu na wewe ukalijibu, huyo mtu atakudharau sana."

Unaponiuliza swali wakati jibu lake unalifahamu vizuri, unataka upime nini na kwa faida ya nani kwenye thread ambayo majibu yake unayafahamu.
 


usiende mkuuachana nao, lema hata wafanyeje, ataenda tu, alafy matokeo yanajulikana hata aje nani!
 
mkuu, tayari tushaandaa zana zote muhimu kwaajili ya shambulizi.
Tunawasubiri gambaz waje tu, tayari weshaandaliwa buffee la aibu!.

mkuu jimmy nakuaminia makamanda wa arachuga sijawahi ona,

naamini kama mpira ni dakika 90, basi naamini cdm-90,ccm-0, pamoja sana makamanda waambie vijana wa toyo wajiandae kumeki superprofit toka kwa mafisadi najua lowasa hatoamini tena.... Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Aliyeleta mada ni mwana cdm, alafu mnajijibu wenyewe, du?????????????????????/
 

mkuu unamjua mleta uzi huu, au unaongea kwa hisia zako tu??

Hapo nilipobold-bluu waulize watu wa lumumba, na majangili ya tembo, na watorosha twiga wetu, waulize pia kwa nini umaskini umeongezeka badala ya kupungua.... Na dhahabu imeisha lakezone
 
mkuu unamjua mleta uzi huu, au unaongea kwa hisia zako tu??

Hapo nilipobold-bluu waulize watu wa lumumba, na majangili ya tembo, na watorosha twiga wetu, waulize pia kwa nini umaskini umeongezeka badala ya kupungua.... Na dhahabu imeisha lakezone
Yes, I know him/her/shemale.
 
Kaka umeshaiona aibu nitakuita kiona mbali. Mwachie Mwigulu ajikoki tumpopoe pale viwanja vya tindigani
 
Aliyeleta mada ni mwana cdm, alafu mnajijibu wenyewe, du?????????????????????/
Ulitaka nepi au mwizi wa tembo aseme hadharani ndio uamini au???acha ukilaza wewe gamba jeikei nchi ishamshinda....nahili unaliamini au unakataa?
 
Hamia CCM Mkuu najua wewe ni mwana Chadomo unaogopa magaidi wenzako.Kuwapa Magaidi Arusha kutapunguza Utalii na maendeleo kwa ujumla wa mji wa Arusha.
 
MACCM bwana wanaenda kutafuta nini wakati walisema huko kanda ya kaskazini ni kwa chama cha wachaga watalijua jiji
 
Mtaje. Acha zako bwana
Unataka nimtaje kwa faida yako au ya nani?. Why are you so interested?.

Acha Kujifunika taulo machoni na kufumba macho huku ukijifanya huzioni sheria za NAME CALLING kama zilivyowekwa na wataalamu halisia wa sheria za utandawazi Jamii forum.

Kwa wataalamu wa sarakasi za ulinzi, hakuna kitu kibaya kwa UNDERCOVER kudhani yuko 'OVERCOVER'.

Anyway, pole pole tutafika...?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…