Smart AJ
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 5,533
- 5,751
Kama kawaida nlikutana naye kwenye mizunguko ya kawaida tu, nikaomba namba akanipatia.
Njia aliyokuwa anaenda yeye nami nilikuwa naenda huko huko,njiani tulikutana na mdada tu, ambaye kwa muonekano ni mkubwa kidogo kwa huyo dada,walisalimia na tukaendelea na safari yetu.
Nilipata kumfahamu kwa siku mbili tu,ila alinivutia sana coz ana macho mazuri mnooooo yani,plus kashape flani hivi ka kimisi basi ndio akanimaliza kabisa.
Picha linakuja siku ya tatu, nmekutana naye nkamtemea voko,akawa kama mtu aliyepigwa na butwaa hivi, hasemi kitu kabisa, ikabidi nimsindikize tu kwao nami nirudi home.
Nikiwa home, nikajiuliza sababu ya kuwa vile, ikabidi nimpigie nimuulize kama nimemkwaza chochote, jibu lake likawa HAPANA.
Nilipokuja kukumbushia ombi langu jibu lake likawa “HAPANA. MI NAONA TUWE MARAFIKI TU”
kuuliza sababu ya maamuzi yake hayo akanambia kitu mambo mengi plus kuogopa kuumizwa na mapenzi na blah blah kibao sana ambazo kwangu hazikuingia kichwani kiukweli.
Ila nilipozidi kumdadisi akaniambia kitu ambacho kikanifanya nishangae sana.
YEYE:“Unakumbuka ile siku tumeongozana tulikutana naye mdada flani tukasalimiana naye?
MIMI:”ndio”
YEYE:”basi baadae alinitext akanambia mdogo wangu umejua kuchagua,ila mi nkamwambia hapana dada mbona ni rafiki yangu tu,....basi akasema nilitaka kushangaa anawezaje kuwa shemeji nkajua labda ndo vidawa dawa labda”
Mi kiukweli sikuwa na la kujibu ila nkawaza labda ilkuwa ni mbinu yake ya kutaka kunipotezea tu,na nikamwambia pale pale ila akasema na kuapa kabisa kuwa ndio ukweli...
Nikajaribu kumueleza kuwa mapenzi hayajengwi na watu wa pembeni ila na watu wawili tu.
Kwa kifupi huyu dada anadhani nimemtamani na sijampenda na alinambia kabisa kuwa anahisi hivyo.
Anachosema yeye alidhani mie nimemfata kwa ajili tu ya urafiki so hakuwahi kudhani kabisa kuwa naweza kumtamkia kuwa namtaka awe wangu,akagusia kuwa ndo mana siku ile nilipomtokea aliishiwa pozi na kukosa jibu la kunipa.
Ila kiukweli mi nimetokea kumpenda sana coz ana sifa kadhaa za mtu nnaye mtaka.
Ye anasema hafai kuwa na mimi ,sasa hapa ndo simuelewi ana shida gani,akaanza hata kuuliza kabila langu,nilipomtajia akasema kabila langu huwa wanakuwa na wanaoa wanawake pisi kali sijui.
Jamani sijui nifanye nini coz huyu mtoto nimezimika ghafla tu asee hebu naombeni mnishauri jamani chonde chonde nimwambiaje aelewe kuwa ananifaa.
Njia aliyokuwa anaenda yeye nami nilikuwa naenda huko huko,njiani tulikutana na mdada tu, ambaye kwa muonekano ni mkubwa kidogo kwa huyo dada,walisalimia na tukaendelea na safari yetu.
Nilipata kumfahamu kwa siku mbili tu,ila alinivutia sana coz ana macho mazuri mnooooo yani,plus kashape flani hivi ka kimisi basi ndio akanimaliza kabisa.
Picha linakuja siku ya tatu, nmekutana naye nkamtemea voko,akawa kama mtu aliyepigwa na butwaa hivi, hasemi kitu kabisa, ikabidi nimsindikize tu kwao nami nirudi home.
Nikiwa home, nikajiuliza sababu ya kuwa vile, ikabidi nimpigie nimuulize kama nimemkwaza chochote, jibu lake likawa HAPANA.
Nilipokuja kukumbushia ombi langu jibu lake likawa “HAPANA. MI NAONA TUWE MARAFIKI TU”
kuuliza sababu ya maamuzi yake hayo akanambia kitu mambo mengi plus kuogopa kuumizwa na mapenzi na blah blah kibao sana ambazo kwangu hazikuingia kichwani kiukweli.
Ila nilipozidi kumdadisi akaniambia kitu ambacho kikanifanya nishangae sana.
YEYE:“Unakumbuka ile siku tumeongozana tulikutana naye mdada flani tukasalimiana naye?
MIMI:”ndio”
YEYE:”basi baadae alinitext akanambia mdogo wangu umejua kuchagua,ila mi nkamwambia hapana dada mbona ni rafiki yangu tu,....basi akasema nilitaka kushangaa anawezaje kuwa shemeji nkajua labda ndo vidawa dawa labda”
Mi kiukweli sikuwa na la kujibu ila nkawaza labda ilkuwa ni mbinu yake ya kutaka kunipotezea tu,na nikamwambia pale pale ila akasema na kuapa kabisa kuwa ndio ukweli...
Nikajaribu kumueleza kuwa mapenzi hayajengwi na watu wa pembeni ila na watu wawili tu.
Kwa kifupi huyu dada anadhani nimemtamani na sijampenda na alinambia kabisa kuwa anahisi hivyo.
Anachosema yeye alidhani mie nimemfata kwa ajili tu ya urafiki so hakuwahi kudhani kabisa kuwa naweza kumtamkia kuwa namtaka awe wangu,akagusia kuwa ndo mana siku ile nilipomtokea aliishiwa pozi na kukosa jibu la kunipa.
Ila kiukweli mi nimetokea kumpenda sana coz ana sifa kadhaa za mtu nnaye mtaka.
Ye anasema hafai kuwa na mimi ,sasa hapa ndo simuelewi ana shida gani,akaanza hata kuuliza kabila langu,nilipomtajia akasema kabila langu huwa wanakuwa na wanaoa wanawake pisi kali sijui.
Jamani sijui nifanye nini coz huyu mtoto nimezimika ghafla tu asee hebu naombeni mnishauri jamani chonde chonde nimwambiaje aelewe kuwa ananifaa.