Dr.Mo well said ni kama vile u know me...!!! kidogo nishtuke ...!!!!! but sina pozi kabsa thou ni kweli nafahamiana na watu wachache sjui ni makuzi au ndo jinsi nlivyo tu and thanks again kwa ushauri wako ntajitahidi sana kuufanyia kazi.[/QUO
usijali mamy...tulia tu jipange upya..anaza kfanya maisha ya aina nyingine kidogo...usikae ndani sana..buni safari na mambo mengine ya kufanya...badilisha aina ya watu unao fahamiana nao....weka time limit kwenye curve ya maisha yako..na usiwe na haraka sana.ili uweze kufanya maamuzi sahihi ..yatakayo kupa maisha matamu