jf user
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 777
- 622
- Thread starter
- #21
Mkuu dini inasambaa dunia nzima siku hadi siku.Kabla ya kuja Mzungu na mwarabu ulikua unamjua huyo Mungu?
Israeli kwa sisi Wakristo ndipo chimbuko la dini yetu.
Tumeletewa na wazungu "Wamissionary" hata ukienda latin america, wapi sehemu yeyoe duniani utaona mzungu kaplay major role kueneza ukristo/Christianity.
Yesu anasema tuieneze injili, tutangaze habari njema kwa watu wote.
Wenzetu waislamu wameletewa na waarabu chimbuko la uislamu ni maeneo hayo hayo ya middle east! dini inaenezwa ulimwengu mzima.