Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,982
- 12,703
Kuna watu linapokuja suala la mapenzi sijui wamerogwa....!!
Kuna mpangaji mwenzangu hapa yeye hachagui mwanamke wa kufanya naye mapenzi machangudoa, mahouse girl, mama lishe, wauza mboga, wafanyakazi wenzake wa kike (hawa ndio anawabadilisha kama nguo). Mbaya zaidi anafanyia hapahapa katika nyumba aliyopanga (bahati nzuri mwenye nyumba haishi hapa tupo wapangaji tu) na wakati mwingine anamalizia haja zake vichakani hasa na mahousegirl. Hawezi kupitisha zaidi ya siku mbili bila kulala na mwanamke.
Tumejitahidi kumshauri japo awe na staha lakini amekuwa akitujibu kuwa SICHAGUI, SIBAGUI ATAKAYENIZIKA SIMJUI.........
Kuna mpangaji mwenzangu hapa yeye hachagui mwanamke wa kufanya naye mapenzi machangudoa, mahouse girl, mama lishe, wauza mboga, wafanyakazi wenzake wa kike (hawa ndio anawabadilisha kama nguo). Mbaya zaidi anafanyia hapahapa katika nyumba aliyopanga (bahati nzuri mwenye nyumba haishi hapa tupo wapangaji tu) na wakati mwingine anamalizia haja zake vichakani hasa na mahousegirl. Hawezi kupitisha zaidi ya siku mbili bila kulala na mwanamke.
Tumejitahidi kumshauri japo awe na staha lakini amekuwa akitujibu kuwa SICHAGUI, SIBAGUI ATAKAYENIZIKA SIMJUI.........