samirnasri
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 1,388
- 215
kamanda wa polisi mkoa wa Ruvuma ambaye jina lake sikulishika vizuri anasema vurugu zilizotokea leo asubuhi kati ya waandamanaji na polisi na kusababisha vifo vya watu watatu zimesababishwa na imani za kishirikina na siasa ndani yake. Wananchi walikuwa wakiandamana kupinga wimbi la mauaji ya raia yaliyokithiri mkoani ruvuma na kuitaka serikali ichukue hatua.
source: tbc
source: tbc