Kweli nimeamini njaa ni kitu kibaya sana! Njaa inaweza kumfanya Profesa awe na upeo mdogo wa kufikiri kuliko "teja" la pale Kinondoni Studio!
Eti Profesa Lipumba ametengua barua yake ya kujiuzulu na kujirudisha kwenye Uenyekiti wa Chama cha CUF bila maamuzi ya vikao wala kupitia mchakato wa uchaguzi!
Hivi Profesa Lipumba alipojiuzulu Uenyekiti ,Chama cha CUF si kilikaa na kumpata kaimu Mwenyekiti ambaye yuko mpaka sasa Mhe.Twaha Taslima.Sasa inakuwaje Profesa mzima anafanya siasa "pori " kama hizi!?
Zitto Zuberi Kabwe naye ukimsikiliza kwa makini ni kama ana- pre empty mazungumzo yake aliyofanya na viongozi fulani wakubwa ndani ya CCM kuhusu Rais John Magufuli!
Kauli kama vile, alienda Rwanda kujifunza namna ya kudhibiti wapinzani na demokrasia (hapa lazima ujue Zitto anamfurahisha nani), si rahisi kuanzisha vita ya kidiplomasia kwa kiongozi makini bila sababu!
Kauli yake nyingine ya kitoto ni ile ya eti CCM imdhibiti mwanachama wake na ikishindwa watamdhibiti wao! Na ya mwisho ni ile kauli ya Magufuli atakuwa Rais wa term moja!
Zitto fanya siasa acha sasa kucheza ngoma za kulipwa!
Eti Profesa Lipumba ametengua barua yake ya kujiuzulu na kujirudisha kwenye Uenyekiti wa Chama cha CUF bila maamuzi ya vikao wala kupitia mchakato wa uchaguzi!
Hivi Profesa Lipumba alipojiuzulu Uenyekiti ,Chama cha CUF si kilikaa na kumpata kaimu Mwenyekiti ambaye yuko mpaka sasa Mhe.Twaha Taslima.Sasa inakuwaje Profesa mzima anafanya siasa "pori " kama hizi!?
Zitto Zuberi Kabwe naye ukimsikiliza kwa makini ni kama ana- pre empty mazungumzo yake aliyofanya na viongozi fulani wakubwa ndani ya CCM kuhusu Rais John Magufuli!
Kauli kama vile, alienda Rwanda kujifunza namna ya kudhibiti wapinzani na demokrasia (hapa lazima ujue Zitto anamfurahisha nani), si rahisi kuanzisha vita ya kidiplomasia kwa kiongozi makini bila sababu!
Kauli yake nyingine ya kitoto ni ile ya eti CCM imdhibiti mwanachama wake na ikishindwa watamdhibiti wao! Na ya mwisho ni ile kauli ya Magufuli atakuwa Rais wa term moja!
Zitto fanya siasa acha sasa kucheza ngoma za kulipwa!