Siasa za tanzania

Siasa za tanzania

Comi

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2011
Posts
3,328
Reaction score
958
Naomba kuuliza, hivi siasa za tanzania haziwezi kuendelea bila kujumuisha udini,ukabila na ukanda? Je! Kati ya vyama vyote unavyovijua ni chama gani ambacho hakijajumuisha kati ya hayo katika kupambania nafasi fulani ya kuongoza aidha kwenye udiwani, ubunge, urais n,k Tukiingia kiundani zaidi nani ambaye ana asili ya utanzania au mwenye dini yake? Mfano. Wangoni walitokea kusini mwa africa, wamasai walitokea misri karne ya 17/18, datoga na wenyewe kusini mwa africa n.k
 
Back
Top Bottom