Siasa za Tanzania na Ubunifu Wake Uliobobea

Siasa za Tanzania na Ubunifu Wake Uliobobea

Kojo Dowido

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2015
Posts
354
Reaction score
111
ni pale mwanasiasa anapokuwa mbunifu kwa kiwango cha hali ya juu kabisa. tulianza na kubadili gia angani ikakubalika na ikalipa kweli hiyo.

kama vile hii haikutosha kuwa sasa ubunie kununua watu wanaozimia na biashara hio ikulipe kisiasa,kweli baadhi ya wanasiasa humu nchini nimewavulia kofia.
 
watu wengi wamejivua ufahamu.wapo waliosema watu wengi jangwani kwenye ufunguzi wa kampeni za chadema walikuwa ni wageni dar ni vijana wa monduli walichukuliwa kuja kujaza jangwani.pale mwanzo kwenye kila kampeni za lowasa magamba yalisema watu wananunuliwa.jamani.kwa ule wingi wa watu mwanza na sehemu mbalimbali ni lazima watu wapate shida hata lowasa mwenyewe alikosa hewa na kuchoka katika maeneo kama hayo.
 
Back
Top Bottom