Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,655
Mimi binafsi naona siasa za ofisini kwa tanzania bado hazina mashiko kwa sababu mikutano ya hadhara inawafungua watu weng ambao hawajui kuhusu serikali ama jukumu la serikali kwao.Na vile vile siasa za ofisini kama za kina cuf hazifikii wananchi %95 ndio maana cuf imeendelea kudidimia kila kukicha! MFano mzuri ni kwa chama kikuu cha upinzani nchini (CHADEMA) ambacho kinafanya mikutano ya hadhara karibia kila mwezi ili kuwawezesha wananchi nini kinachoendelea katika anga la TANZANIA! JE wewe uko upande gani katika siasa za Tanzania? Ofisini au kwenye mikutano?