Wamunzengo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 810
- 321
Mkuu Kiganyi, umegusia siasa za mahaba lakini tatizo wewe umedanganywa ukauvaa mkenge wa siasa za chuki pasipo sababu. Mkuu mi nakuomba ujaribu tena kufuatilia topic zilizohusu hiyo ishu ya rushwa humu ndani ndo utajiridhisha kuwa kilichopo hapo ni tuhuma za kumlazimisha mtu kuwa ana hatia halafu zikawa surported na ushabiki mwingi. huo ushabiki ndo uliwapoteza watu wasiofuatilia mambo kwa undani na kuishia kumzushia huyo mwanasiasa kuwa alihusika kwenye rushwa. kwa jisi suala lilivyo, NAKUAPIA MKUU, PIGA UA HIYO ILIKUWA NI KUCHAFUANA KISIASA. Fuatilia kama nilivyokuomba, utabaini ukweli, ukishindwa nikumbushe nikuweke sawa kwa nia nzuri tu, ili tuwe tunayachuja mambo badala ya kushabikia bila kujua undani wake.