Siasa za kaulimbiu: Kipi kimebaki?

Siasa za kaulimbiu: Kipi kimebaki?

Joined
Dec 1, 2019
Posts
42
Reaction score
13
Moja ya jukumu kubwa ya watu wa interest ni ahadi za viongozi uwe Chadema au CCM ipo siku tutawatumia Ila pale inaposhindikana inakuwa mashindano yasiyo na maana mathalani:

Wakati wa Rais Mstaafu Kikwete ilikuwa "Kilimo kwanza" lengo ilikuwa ni kuboresha kilimo matrector kibao yalikuja na kuoza pale Mwenge.

Wakati wa Rais Magufuli: Ilikuwa ni "Serikali ya Viwanda" kuna watu wameajiriwa kuhakikisha haitekelezeki. Kila la kheri kwa watakao kutana na watu wa interest maana "hatujui kitu gani viongozi wataongea na wananchi wananchi tupige makofi ipo siku tutatafanya"

Zaidi ya viwanda kweli tusubiri.

 
Kufukua na kufukia mbegu kwa kwato!!! Na mhe. Waziri anajitapa kilimo kimeimarika!!!
IKIWA HATUJUI TULIKOTOKA INA MAANA HATUJUI TUENDAKO...
 
Kufukua na kufukia mbegu kwa kwato!!! Na mhe. Waziri anajitapa kilimo kimeimarika!!!
IKIWA HATUJUI TULIKOTOKA INA MAANA HATUJUI TUENDAKO...
SASA tumesoma ili iwaje!? Sifa za kijinga hizo labda ilikuwa green house inabidi tumpongeze na kumwachia Sifa zake maana tutasahau Tu
 
SASA tumesoma ili iwaje!? Sifa za kijinga hizo labda ilikuwa green house inabidi tumpongeze na kumwachia Sifa zake maana tutasahau Tu
Ukitazama hiyo video na alivyoshika jembe mheshimiwa unapata picha halisi jinsi siasa inavyomeza weledi...
Huh! Green house za Mbozi zitakuwa zimevuka kiwango cha dunia...
Kuna kusoma kuelimika na kuna kusomea cheti ikiwa haitoshi pia kuna kusomea ujinga!!!
 
Ukitazama hiyo video na alivyoshika jembe mheshimiwa unapata picha halisi jinsi siasa inavyomeza weledi...
Huh! Green house za Mbozi zitakuwa zimevuka kiwango cha dunia...
Kuna kusoma kuelimika na kuna kusomea cheti ikiwa haitoshi pia kuna kusomea ujinga!!!
Hawataki tufikirie mchezo huo ni HaPA
Screenshot_20191128-153739.png
 
Back
Top Bottom