tamuuuuu JF-Expert Member Mar 10, 2014 19,948 25,170 Dec 11, 2017 #41 Majeshi yanatumiwa na ccm. Watanzania daini katiba mpya na tume huru ccm itoke vinginevyo mtapata tabu sana
Majeshi yanatumiwa na ccm. Watanzania daini katiba mpya na tume huru ccm itoke vinginevyo mtapata tabu sana
SAGAI GALGANO JF-Expert Member Nov 13, 2009 43,707 60,760 Dec 11, 2017 #43 MsemajiUkweli said: Mkuu; Huyo huyo mgawa papuchi ndiye alimfanya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa apagawe! Kama mgawa papuchi hana maana basi Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa aliyepagawishwa tumuweke katika kundi gani? Click to expand... Wewe ndiyo ulimshikia miguu? Na apagawe kwani ina TV ndani? Mateja washaivuruga mna nini tena kama kama siyo tope tu?
MsemajiUkweli said: Mkuu; Huyo huyo mgawa papuchi ndiye alimfanya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa apagawe! Kama mgawa papuchi hana maana basi Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa aliyepagawishwa tumuweke katika kundi gani? Click to expand... Wewe ndiyo ulimshikia miguu? Na apagawe kwani ina TV ndani? Mateja washaivuruga mna nini tena kama kama siyo tope tu?