Siasa za CCM zinawavuruga CHADEMA

Majeshi yanatumiwa na ccm.

Watanzania daini katiba mpya na tume huru ccm itoke vinginevyo mtapata tabu sana
 
Mkuu;

Huyo huyo mgawa papuchi ndiye alimfanya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa apagawe!

Kama mgawa papuchi hana maana basi Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa aliyepagawishwa tumuweke katika kundi gani?

Wewe ndiyo ulimshikia miguu? Na apagawe kwani ina TV ndani? Mateja washaivuruga mna nini tena kama kama siyo tope tu?
 
Back
Top Bottom