timothkaswaga
Member
- Jan 29, 2017
- 63
- 38
Katika siasa hakuna rafiki wa kudumu pia adui wa kudumuHabari wanajamvi.huwa mimi Nawashangaa Wanaobaki CCM Leo Ila Wakisurubiwa Wanakiponda Chama. Ila Nawashanga Zaidi Wa Upande Wa Pili Wanavyowapokea Na Kuwasafisha.kabda ya hapo walikuwa wanawasema sana