Siasa ya Bei ya Mafuta(Petrol) na uhalisia wake, Tatizo ni uwingi wa Kodi

Memento

JF-Expert Member
Jun 13, 2021
4,423
9,962
Nimeona watu wengi wakiuliza kulikoni Bei ya Mafuta inapaa kila kukicha na kutishia uchumi wa mmoja mmoja.
Ukweli Bei ya Mafuta soko la dunia imepanda, lakini ukweli ulio wazi sio kwa Bei hizi za huku bongo.
Bei huku Tz ni kubwa kutokana na utitiri wa Kodi, hivyo kufanya mafuta kuuzwa hadi zaidi ya 2700 kwa baadhi ya mikoa.
Litre moja ya Mafuta ina kodi zaidi ya 20. Hivyo ndio maana tunaona Bei ipo juu sana. Serikali inaweza kabisa kushusha Bei ya Mafuta kwa kufuta baadhi ya Kodi.
Kutoka mafuta yanapotoka hadi kufika Dar ni sh.1162 , hivyo utitiri wa Kodi ndio unapelekea mafuta kuuzwa hadi zaidi ya 2700

Total Cost (CIF to Dar Port) = 1162
Chini ni Kodi zinazofanya Bei iwe kubwa;
  • Wharfage
  • Railway Development Levy
  • Customs Processing Fee
  • Weights and Measures Fee
  • TBS Charge
  • Tasac Fee
  • Ewura Fee
  • Fuel Marking
  • Demurrage Costs
  • Surveyors Costs
  • Financing Costs
  • Evaporation Losses
  • Fuel Levy
  • Excise Duty
  • Petroleum Fee
  • Oil Marketing Companies Overheads & Margins
  • Charges Payable to Executive Agencies
  • Service Levy payable to Local Government(Wholesale)
  • Service Levy Payable to Local Government(Retail)

Hivyo Mama Samia anaweza kuamua kuondoa baadhi ya Kodi hapo ili wananchi wapate unafuu.
 
Tanzania East Africa inaongoza kwa Kodi na tozo za wizi .Inakuje Uganda Bei ya bidhaa ipo chini wakati hawana bandari?Siku serikali ikiondoa Kodi za wizi watu watapiga hatua kubwa kiuchumi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeona watu wengi wakiuliza kulikoni Bei ya Mafuta inapaa kila kukicha na kutishia uchumi wa mmoja mmoja.
Ukweli Bei ya Mafuta soko la dunia imepanda, lakini ukweli ulio wazi sio kwa Bei hizi za huku bongo.
Bei huku Tz ni kubwa kutokana na utitiri wa Kodi, hivyo kufanya mafuta kuuzwa hadi zaidi ya 2700 kwa baadhi ya mikoa.
Litre moja ya Mafuta ina kodi zaidi ya 20. Hivyo ndio maana tunaona Bei ipo juu sana. Serikali inaweza kabisa kushusha Bei ya Mafuta kwa kufuta baadhi ya Kodi.
Kutoka mafuta yanapotoka hadi kufika Dar ni sh.1162 , hivyo utitiri wa Kodi ndio unapelekea mafuta kuuzwa hadi zaidi ya 2700

Total Cost (CIF to Dar Port) = 1162
Chini ni Kodi zinazofanya Bei iwe kubwa;
  • Wharfage
  • Railway Development Levy
  • Customs Processing Fee
  • Weights and Measures Fee
  • TBS Charge
  • Tasac Fee
  • Ewura Fee
  • Fuel Marking
  • Demurrage Costs
  • Surveyors Costs
  • Financing Costs
  • Evaporation Losses
  • Fuel Levy
  • Excise Duty
  • Petroleum Fee
  • Oil Marketing Companies Overheads & Margins
  • Charges Payable to Executive Agencies
  • Service Levy payable to Local Government(Wholesale)
  • Service Levy Payable to Local Government(Retail)

Hivyo Mama Samia anaweza kuamua kuondoa baadhi ya Kodi hapo ili wananchi wapate unafuu.
Mamlaka hizo zipo kwa kazi hizo, zina wafanyakazi kwa kazi hizo, bado zina toza kufanya kazi hizo. Wapo ewura kwenye umeme, maji nk, zimamoto wanalipwa kila mwaka kuangalia kama mitungi haijaisha muda wake. Ni shida kila mahali.
 
Back
Top Bottom