Siasa safi na kilimo

Siasa safi na kilimo

idiomer

Senior Member
Joined
Aug 15, 2012
Posts
179
Reaction score
203
Kilimo hakuna sasa tunaagiza mchele, sukari, samaki, matunda pia

Licha kuwa tuna mashamba mengi sanaa na ardhi nzuri. Mradi kama BBT haieleweki tenaa mwenyewe yupo na ng'ombe kwa chief mirambo

Siasa safi hakuna sasa kuna siasa chafu. Matusi, Kupigwa, siasa imekuwa uadui yaani tumetoka kabisa kwenye misingi.

Baba hata azimio la Arusha limekua tofauti sasa mtu mmoja anamiliki gari la bilion 1 ila wananchi hawana maji safi. Barua kwenda kuzimu
 
Back
Top Bottom