Siasa nyepesi anazofanya John Mnyika

Siasa nyepesi anazofanya John Mnyika

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
2,214
Reaction score
3,353
Tangu nianze kumfahamu huyu muheshimiwa sijawahi kumsikia akileta hoja nzito zenye nguvu zinazolingana na nafasi aliyonayo ndani ya Chama chetu badala yake amekua mtu wa kulazimisha hoja kupiga makelele wakati mwingi najiuliza hivi ni jambo gani amewahi kulifanya Mnyika likaacha kumbukumbu kwa watanzania zaidi ya haya 1kumtukana mkwere tukutoa hadharani namba za makinda3kutoa hadharani namba za Prof Maghembe kuwakusanya wanawake ili waandamane na ndo za maji na kudandiadandia hoja hapa ndio najiuliza kwa aina ya wapinzani kama mnyika tutafika?
 
Mnyika ni mbunge anayeongoza kufanya amendments vipengele vingi vya miswada inayopelekwa bungeni na serikali.

Hivyo anabaki kua mbunge aliyechangia kuundwa kwa sheria nyingi zaidi kwa mwaka 2010-2015.

Kwangu mimi ndie mtu makini pekee aliyebaki CDM.......
 
Nadhani zaidi ya chuki hujamtendea haki.Ni Mbunge wa kwanza kupigia kelele issue ya maji na Haki za vijana akiwa Bungeni.Anaotuwakilisha tunajua anatundea haki pale tunapohitaji uwepo wake.

Bravo John Mnyika.
 
Tangu nianze kumfaham huyu muheshimiwa sijawahi kumsikia akileta hoja nzito zenye nguvu zinazolingana na nafasi aliyonayo ndani ya Chama chetu badala yake amekua mtu wa kulazimisha hoja kupiga makelele wakati mwingi najiuliza hivi ni jambo gani amewahi kulifanya Mnyika likaacha kumbukumbu kwa watanzania zaidi ya haya 1kumtukana mkwere 2kutoa hadharani namba za makinda3kutoa hadharani namba za prof maghembe kuwakusanya wanawake ili waandamane na ndo za maji na kudandiadandia hoja hapa ndio najiuliza kwa Aina ya wapinzani kama mnyika tutafika?????

Inaonyesha hufuatilii mambo ya nchi au kama unafuatilia huelewi. Mnyika ukiacha kuzungumza kwake kwa sauti ya juu sana ambako hata mie huwa sikupendi, hoja zake ziko very constructive na ndio maana hata Spika aliyepita ukimuita pembeni umuulize ni Mbunge gani kwake yeye akiulizwa chini ya kiapo cha kusema kweli kama ana mu admire, atamtaja Mnyika
 
Tangu nianze kumfaham huyu muheshimiwa sijawahi kumsikia akileta hoja nzito zenye nguvu zinazolingana na nafasi aliyonayo ndani ya Chama chetu badala yake amekua mtu wa kulazimisha hoja kupiga makelele wakati mwingi najiuliza hivi ni jambo gani amewahi kulifanya Mnyika likaacha kumbukumbu kwa watanzania zaidi ya haya 1kumtukana mkwere 2kutoa hadharani namba za makinda3kutoa hadharani namba za prof maghembe kuwakusanya wanawake ili waandamane na ndo za maji na kudandiadandia hoja hapa ndio najiuliza kwa Aina ya wapinzani kama mnyika tutafika?????


Mbona umeandika maruhani

Mkwere kafanya nini la kukumbukwa

Kichwa ya Mnyika ni sawa na wanachama Wa Lumumba wote uviunganishe ndo utafikia akili yake
 
Inaonyesha hufuatilii mambo ya nchi au kama unafuatilia huelewi. Mnyika ukiacha kuzungumza kwake kwa sauti ya juu sana ambako hata mie huwa sikupendi, hoja zake ziko very constructive na ndio maana hata Spika aliyepita ukimuita pembeni umuulize ni Mbunge gani kwake yeye akiulizwa chini ya kiapo cha kusema kweli kama ana mu admire, atamtaja Mnyika

Huu ukweli nimeupenda sana.
 
Mbona umeandika maruhani

Mkwere kafanya nini la kukumbukwa

Kichwa ya Mnyika ni sawa na wanachama Wa Lumumba wote uviunganishe ndo utafikia akili yake

Asante kwa mcango wako mkuu, nadhani ujumbe umefika kwa mleta uzi
 
Mi nadhani baada ya kusoma magazeti ya udaku, tujitahidi basi kupata uhalisia wa jambo ila akili za kidaku zisituchanganye hadi kufikia kunoa kama makamanda hawana la maana kwa watanzania.
Mnyika ni kichwa, na,kubali kinnnyama, ni jembe na kama mtu haamini basi amtafute Spika wa Bunge lililopita atampa majibu ya kina. Ile sauti yake ndivyo alivyoumbwa na mola wake, na ndiyo kinga yake hata bungeni, akisimama tu na kuanza kuitoa, wengine lazma wawe wapoooooole, yan kama Simba vile.
 
Tangu nianze kumfaham huyu muheshimiwa sijawahi kumsikia akileta hoja nzito zenye nguvu zinazolingana na nafasi aliyonayo ndani ya Chama chetu badala yake amekua mtu wa kulazimisha hoja kupiga makelele wakati mwingi najiuliza hivi ni jambo gani amewahi kulifanya Mnyika likaacha kumbukumbu kwa watanzania zaidi ya haya 1kumtukana mkwere 2kutoa hadharani namba za makinda3kutoa hadharani namba za prof maghembe kuwakusanya wanawake ili waandamane na ndo za maji na kudandiadandia hoja hapa ndio najiuliza kwa Aina ya wapinzani kama mnyika tutafika?????

Tena umkome mbunge wetu...mbwa we..Huna kazi ya kufanya kajaze maji baharini
 
Asante kwa mcango wako mkuu, nadhani ujumbe umefika kwa mleta uzi


Wewe huoni hata raisi wao anakosa mawaziri humu humo ndani ya chama chao

Maana yake ameona wengi madubwasha
 
Tangu nianze kumfaham huyu muheshimiwa sijawahi kumsikia akileta hoja nzito zenye nguvu zinazolingana na nafasi aliyonayo ndani ya Chama chetu badala yake amekua mtu wa kulazimisha hoja kupiga makelele wakati mwingi najiuliza hivi ni jambo gani amewahi kulifanya Mnyika likaacha kumbukumbu kwa watanzania zaidi ya haya 1kumtukana mkwere 2kutoa hadharani namba za makinda3kutoa hadharani namba za prof maghembe kuwakusanya wanawake ili waandamane na ndo za maji na kudandiadandia hoja hapa ndio najiuliza kwa Aina ya wapinzani kama mnyika tutafika?????


Ndo maana Ngosha anakosa watu Wa kuwapa uwaziri kwenye wizara nyeti

Amekaa ameona wengi wao maruhani
 
Mmmhhhh mnyika ana dalili ya ugenious alisema waziwazi mkwere dhaifu,haya sasa.magufuli anathibitisha.
 
Mnyika ni mbunge anayeongoza kufanya amendments vipengele vingi vya miswada inayopelekwa bungeni na serikali.

Hivyo anabaki kua mbunge aliyechangia kuundwa kwa sheria nyingi zaidi kwa mwaka 2010-2015.

Kwangu mimi ndie mtu makini pekee aliyebaki CDM.......
ok ila sasa amezidi hadi anaboa. wakati hata wapinzani wengi wanamfurahia magufuli yeye anarusha miguu kupiga ngwara mambo sahihi. nilifikiri angerudi shule kukamilisha elimu yake ya shahada angekua more accomplished. mara anabishana kama lema mara kama kibajaj wakati yuko na intelectual potential kubwa sana.
 
Tangu nianze kumfaham huyu muheshimiwa sijawahi kumsikia akileta hoja nzito zenye nguvu zinazolingana na nafasi aliyonayo ndani ya Chama chetu badala yake amekua mtu wa kulazimisha hoja kupiga makelele wakati mwingi najiuliza hivi ni jambo gani amewahi kulifanya Mnyika likaacha kumbukumbu kwa watanzania zaidi ya haya 1kumtukana mkwere 2kutoa hadharani namba za makinda3kutoa hadharani namba za prof maghembe kuwakusanya wanawake ili waandamane na ndo za maji na kudandiadandia hoja hapa ndio najiuliza kwa Aina ya wapinzani kama mnyika tutafika?????

Mnyika huu ni ubunge wake wa mwisho, amekuwa akiishi kwa uongo uongo tu.
 
Tangu nianze kumfaham huyu muheshimiwa sijawahi kumsikia akileta hoja nzito zenye nguvu zinazolingana na nafasi aliyonayo ndani ya Chama chetu badala yake amekua mtu wa kulazimisha hoja kupiga makelele wakati mwingi najiuliza hivi ni jambo gani amewahi kulifanya Mnyika likaacha kumbukumbu kwa watanzania zaidi ya haya 1kumtukana mkwere 2kutoa hadharani namba za makinda3kutoa hadharani namba za prof maghembe kuwakusanya wanawake ili waandamane na ndo za maji na kudandiadandia hoja hapa ndio najiuliza kwa Aina ya wapinzani kama mnyika tutafika?????

Mleta uzi unahangaishwa na UKADA si kitu kingine . Hivi Mnyika utamlinganisha na nani huko kwenu ????????????!! Pr. Maji mafupi, La kairo, Lusinde na hata hao wanawake wanaopaza sauti za NDIOOOOOOOO

Ukitaka kumuelewa mnyika anza na hata elimu ya QT. Yeye kumpiga Magufuli ngwala ni wajibu wake. Akisifiwa na wote mtayatambuaje mapungufu ya serikali ??????!!
 
ok ila sasa amezidi hadi anaboa. wakati hata wapinzani wengi wanamfurahia magufuli yeye anarusha miguu kupiga ngwara mambo sahihi. nilifikiri angerudi shule kukamilisha elimu yake ya shahada angekua more accomplished. mara anabishana kama lema mara kama kibajaj wakati yuko na intelectual potential kubwa sana.

Ni haki yake apasuke hata kama unadhani amezidi maana wengine waoga na uoga wao ndo unaomfanya JOHN aonekane kama anazidi vile kwa mujibi wa coment yako, ila haika huwa hazidi na asipofanya hivyo lazma watajaribu tu kumnyamazisha kiaina. Viva kamanda Mnyika, Viva
 
Mnyika ubungo pamemshinda amekimbilia kibamba, na huko pia atapakimbia, atahama nchi nzima lakini ukweli utabaki kua hana uwezo wa kuwa kiongozi mzuri kwani kiongozi anapimwa kwa kutatua kero za wananchi, hilo amelishindwa.
 
Sisi wa Kimara tunajua umuhimu wake mkuu kamuulize Zito kufanya kipi Kigoma kaskazini mpaka ahahamie Kigoma mjini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom