Alloyce PR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2020
- 801
- 867
Simba na Yanga zikicheza mpira kisha Refarii akawa Ali Kamwe na washika vibendera ni Gsm na Injinia Hersi hapo unahitaji Akili kubwa ya kurusha roketi kijua mshindi atakuwa nani ??????!!!Siasa siyo tu harakati za kutafuta madaraka au mamlaka; ni juhudi za kimkakati na kiakili.
Kwa namna nyingine, tunaweza kusema ni mchezo halisi wa akili. Mafanikio katika siasa yanahitaji ujuzi wa uchambuzi makini, uwezo wa kutabiri na kukabiliana na mikakati ya wapinzani, pamoja na uelewa wa kuhusiana na tabia za kibinadamu na mienendo ya kijamii. Ni uwanja ambapo maamuzi hufanywa kwa umakini, muungano hujengwa kwa ustadi, na kwa kutafakari historia ya Taifa husika hujenga ushawishi mkubwa kuunga mkono sera.
Katika mchezo huu wa akili, maono na mkakati ni nguzo kuu. Wanasiasa wanaofaulu ni wale wanaofikiria kwa kina, wanaoweza kubadilika kulingana na mabadiliko ya mazingira ya kisiasa, na wanaosimamia kwa uthabiti malengo yao.
Ni uwanja ambapo maarifa ni nguvu, na uwezo wa kufikiri kwa umakini hutawala, jambo ambalo mara nyingi hutofautisha ushindi na kushindwa.
Mwisho, kumshinda mpinzani kunahitaji kuwa na timu ya wachezaji wanaoelewa vyema maana ya siasa.
Ubunifu wa kila mshiriki unahitajika, huku kocha akitoa dira bora kwa timu. Benchi la ufundi inapaswa kuwa tayari kufanya mabadiliko haraka pale inapobainika kuwa mambo hayako sawa. Hakika, siasa ni mchezo wa wale wanaothubutu kumiliki sanaa ya kufikiri kimkakati.ππππππ
Katika hadithi moja, Mtume (S.A.W.) amesema:CCM Kwa uzoefu wao wanajua vyema sana jambo hili.
Chadema mtalalama Hadi chama kinakufa.
Watu wanamlaumu Mbowe lakini hakuna usajili Bora ambao Mbowe alifanya kama ule wa Lowasa na ukamlipa,kabla na baada hakuna tena wamefaulu.
So tegemeenj mwanaccm mwingine labda achomoke ndio mpate kusimamisha kama mgombea wenu ππ
Tofautisha akili na hila, akili kila mtu anazo, ila wengine kwa hofu ya MUNGU hawataki hila na hujuma.Siasa siyo tu harakati za kutafuta madaraka au mamlaka; ni juhudi za kimkakati na kiakili.
Kwa namna nyingine, tunaweza kusema ni mchezo halisi wa akili. Mafanikio katika siasa yanahitaji ujuzi wa uchambuzi makini, uwezo wa kutabiri na kukabiliana na mikakati ya wapinzani, pamoja na uelewa wa kuhusiana na tabia za kibinadamu na mienendo ya kijamii. Ni uwanja ambapo maamuzi hufanywa kwa umakini, muungano hujengwa kwa ustadi, na kwa kutafakari historia ya Taifa husika hujenga ushawishi mkubwa kuunga mkono sera.
Katika mchezo huu wa akili, maono na mkakati ni nguzo kuu. Wanasiasa wanaofaulu ni wale wanaofikiria kwa kina, wanaoweza kubadilika kulingana na mabadiliko ya mazingira ya kisiasa, na wanaosimamia kwa uthabiti malengo yao.
Ni uwanja ambapo maarifa ni nguvu, na uwezo wa kufikiri kwa umakini hutawala, jambo ambalo mara nyingi hutofautisha ushindi na kushindwa.
Mwisho, kumshinda mpinzani kunahitaji kuwa na timu ya wachezaji wanaoelewa vyema maana ya siasa.
Ubunifu wa kila mshiriki unahitajika, huku kocha akitoa dira bora kwa timu. Benchi la ufundi inapaswa kuwa tayari kufanya mabadiliko haraka pale inapobainika kuwa mambo hayako sawa. Hakika, siasa ni mchezo wa wale wanaothubutu kumiliki sanaa ya kufikiri kimkakati.ππππππ
Endelea kujifariji baada ya kipigo Cha mbwa Koko na maisha yanaendeleaKatika hadithi moja, Mtume (S.A.W.) amesema:
"Mdhulumu si mjanja; mjanja ni yule ambaye anaepuka dhuluma na anafanya maandalizi ya maisha ya baada ya kufa." (Muslim, Hadith 2699).
Hakika, siasa ni mchezo wa wale wanaothubutu kumiliki sanaa ya kufikiri kimkakati.ππππππ
Nimepigwa mimi? Mimi sio chadema, mimi nakumbusha tuEndelea kujifariji baada ya kipigo Cha mbwa Koko na maisha yanaendelea
Ndio tunawakataa wabaya kaka Hawa Machadema wanafanya vurugu ππNimepigwa mimi? Mimi sio chadema, mimi nakumbusha tu
"Mwenye kumuona mwenzake akifanya jambo baya, na alizuie kwa mkono wake; ikiwa hawezi basi kwa ulimi wake; ikiwa hawezi basi (achukie) kwa moyo wake, na huo ndio udhaifu wa imani."
(Sahih Muslim, Hadith 49)
Hadithi hii inasisitiza kuwa:
1. Tunawajibika kuamrisha mema na kukataza mabaya kwa uwezo wetu.
2. Ikiwa hatuwezi kutumia nguvu au maneno, basi angalau tuwe na msimamo wa kuchukia mabaya mioyoni mwetu.
3. Hili ni jukumu la kila Muislamu kuimarisha maadili mema ndani ya jamii.
Siyo mchezo wa akili. Haki inabidi ilindwe. Wanawafundisha nini watoto wetu? Kuwa wizi ni moja ya tunu yetu? Kwa taifa letu. It is shame kwa huyu mama na mkwe wake.Siasa siyo tu harakati za kutafuta madaraka au mamlaka; ni juhudi za kimkakati na kiakili.
Kwa namna nyingine, tunaweza kusema ni mchezo halisi wa akili. Mafanikio katika siasa yanahitaji ujuzi wa uchambuzi makini, uwezo wa kutabiri na kukabiliana na mikakati ya wapinzani, pamoja na uelewa wa kuhusiana na tabia za kibinadamu na mienendo ya kijamii. Ni uwanja ambapo maamuzi hufanywa kwa umakini, muungano hujengwa kwa ustadi, na kwa kutafakari historia ya Taifa husika hujenga ushawishi mkubwa kuunga mkono sera.
Katika mchezo huu wa akili, maono na mkakati ni nguzo kuu. Wanasiasa wanaofaulu ni wale wanaofikiria kwa kina, wanaoweza kubadilika kulingana na mabadiliko ya mazingira ya kisiasa, na wanaosimamia kwa uthabiti malengo yao.
Ni uwanja ambapo maarifa ni nguvu, na uwezo wa kufikiri kwa umakini hutawala, jambo ambalo mara nyingi hutofautisha ushindi na kushindwa.
Mwisho, kumshinda mpinzani kunahitaji kuwa na timu ya wachezaji wanaoelewa vyema maana ya siasa.
Ubunifu wa kila mshiriki unahitajika, huku kocha akitoa dira bora kwa timu. Benchi la ufundi inapaswa kuwa tayari kufanya mabadiliko haraka pale inapobainika kuwa mambo hayako sawa. Hakika, siasa ni mchezo wa wale wanaothubutu kumiliki sanaa ya kufikiri kimkakati.ππππππ
b maisha yanaendelea tu hata pamoja na ma Cardiovascular π«, Diabetes, ma Prostate Cancer βοΈ and so on and so forth π³Endelea kujifariji baada ya kipigo Cha mbwa Koko na maisha yanaendelea
"Wala chuki zenu dhidi ya watu zisiwazuie kutenda haki. Tendeni haki; huo ndio ucha-Mungu zaidi."Ndio tunawakataa wabaya kaka Hawa Machadema wanafanya vurugu ππ
View: https://www.instagram.com/p/DC7M5J6g1_K/?igsh=Y2RlMmJlZ3Fxa2ln
kwa nini unakuwa kama mganga wa kienyeji kuchomekea tangazo lake katikati ya mada jadilifu?Katika hadithi moja, Mtume (S.A.W.) amesema:
"Mdhulumu si mjanja; mjanja ni yule ambaye anaepuka dhuluma na anafanya maandalizi ya maisha ya baada ya kufa." (Muslim, Hadith 2699).
Utakuwa madhluma wewekwa nini unakuwa kama mganga wa kienyeji kuchomekea tangazo lake katikati ya mada jadilifu?
Miaka yote? Una maanisha niniSimba na Yanga zikicheza mpira kisha Refarii akawa Ali Kamwe na washika vibendera ni Gsm na Injinia Hersi hapo unahitaji Akili kubwa ya kurusha roketi kijua mshindi atakuwa nani ??????!!!
π π π ππππππππ
Bandugu msema kweli ni mpenzi wa Mungu !
Alisikika Mwamba akisema ,
Au nasema uongo ndugu zanguni ??! π πππ
Katiba mpya bora ni muhimu !
Vinginevyo Akili unazozisemea ndizo zitakazoshinda miaka yote πππ
Siasa siyo tu harakati za kutafuta madaraka au mamlaka; ni juhudi za kimkakati na kiakili.
Kwa namna nyingine, tunaweza kusema ni mchezo halisi wa akili. Mafanikio katika siasa yanahitaji ujuzi wa uchambuzi makini, uwezo wa kutabiri na kukabiliana na mikakati ya wapinzani, pamoja na uelewa wa kuhusiana na tabia za kibinadamu na mienendo ya kijamii. Ni uwanja ambapo maamuzi hufanywa kwa umakini, muungano hujengwa kwa ustadi, na kwa kutafakari historia ya Taifa husika hujenga ushawishi mkubwa kuunga mkono sera.
Katika mchezo huu wa akili, maono na mkakati ni nguzo kuu. Wanasiasa wanaofaulu ni wale wanaofikiria kwa kina, wanaoweza kubadilika kulingana na mabadiliko ya mazingira ya kisiasa, na wanaosimamia kwa uthabiti malengo yao.
Ni uwanja ambapo maarifa ni nguvu, na uwezo wa kufikiri kwa umakini hutawala, jambo ambalo mara nyingi hutofautisha ushindi na kushindwa.
Mwisho, kumshinda mpinzani kunahitaji kuwa na timu ya wachezaji wanaoelewa vyema maana ya siasa.
Ubunifu wa kila mshiriki unahitajika, huku kocha akitoa dira bora kwa timu. Benchi la ufundi inapaswa kuwa tayari kufanya mabadiliko haraka pale inapobainika kuwa mambo hayako sawa. Hakika, siasa ni mchezo wa wale wanaothubutu kumiliki sanaa ya kufikiri kimkakati.ππππππ
Hufikiri vizuriCCM Kwa uzoefu wao wanajua vyema sana jambo hili.
Chadema mtalalama Hadi chama kinakufa.
Watu wanamlaumu Mbowe lakini hakuna usajili Bora ambao Mbowe alifanya kama ule wa Lowasa na ukamlipa,kabla na baada hakuna tena wamefaulu.
So tegemeenj mwanaccm mwingine labda achomoke ndio mpate kusimamisha kama mgombea wenu ππ