Nyanda Banka
JF-Expert Member
- Mar 14, 2023
- 330
- 1,244
Ni ukweli kuwa baadhi ya vijana wengi nchini kutokana na ukosefu wa ajira, wamepelekea kuwa wafuasi wa baadhi ya vyama vya siasa kwa lengo la kutarajia kupata ajira
Sio kweli tutapata piaUVCCM Wanawadanganya hivyo vijana. ndio maana Rais amewavungia anawateua wazee tu sahv