Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,064
- 22,757
Makamba: Bashe si raia
Bashe: Mimi ni raia
Uhamiaji: Nakuhakikisheni Bashe ni raia
Makamba: Hata Uhamiaji waseme nini mimi najua Bashe si raia
Waziri Masha: Ninavyojua uraia wa Bashe hauna utata.
Waandishi wa habari: Je kama hauna utata, Bashe ni raia au vipi
Waziri Masha: Nimesema uraia wake hauna utata, mkitaka kujua zaidi subirini mgombea Uraisi JK atajafafanua kwenye kampeni.
Mag3: Nipeni aspirin.
Bashe: Mimi ni raia
Uhamiaji: Nakuhakikisheni Bashe ni raia
Makamba: Hata Uhamiaji waseme nini mimi najua Bashe si raia
Waziri Masha: Ninavyojua uraia wa Bashe hauna utata.
Waandishi wa habari: Je kama hauna utata, Bashe ni raia au vipi
Waziri Masha: Nimesema uraia wake hauna utata, mkitaka kujua zaidi subirini mgombea Uraisi JK atajafafanua kwenye kampeni.
Mag3: Nipeni aspirin.
Maisha yanaendelea ! Hii bongo ati !