Siasa mufilisi za Mbowe za kuchochea vurugu atabakia mwenyewe barabarani na FFU

Mbona mwenyekiti wenu kampa wizara yakokoto hawara yake?

Na yule hawara mwengine kupewa nyumba ya shirika.

Mmhhh!!! Wasukuma ata hatujaongea walivyopewa vitengo nyeti hayaa sio agenda yetu.


1.KATIBA
2.TUMEHURU
3.UDIKTETA MWISHO 2020
Ukiweka ushahidi wa hayo uliyoandika itapendeza zaidi. Mimi niliyokueleza yako wazi kwenye Public records.
Je hizi shutuma zako tunazipata wapi kwa uthibitisho zaidi kamanda!!???
 
Ukiweka ushahidi wa hayo uliyoandika itapendeza zaidi. Mimi niliyokueleza yako wazi kwenye Public records.
Je hizi shutuma zako tunazipata wapi kwa uthibitisho zaidi kamanda!!???


Ushahidi?????? Mwenyekitil wako yupo na anamdomo ongea nae kirafiki atakupa story yote anavyojua kuhonga raslimali za TAIFA kwa rangi nyeupe

Watani wake wanasema ni udhaifu wake huyuu hashindwi kuhonga inchi kama mugabe.
 
Ushahidi?????? Mwenyekitil wako yupo na anamdomo ongea nae kirafiki atakupa story yote anavyojua kuhonga raslimali za TAIFA kwa rangi nyeupe

Watani wake wanasema ni udhaifu wake huyuu hashindwi kuhonga inchi kama mugabe.
Ni dhahiri ninajibishana na Kamanda. Utakapostahmili kujenga HOJA bila kutumia kejeli, matusi, jazba na mengineyo nijulishe ili tuendelee na huu mjadala kamanda.
 
Pascal Ndege Aisee wewe ni verified user, otherwise ningekuporomeshea tusi...

Kwani hujasikia kamanda Siro amezuia watu kujadili mambo ya Kibiti na hao askari waliowahi kuuwawa.

Hukuona bungeni spika alizuia ule mjadala. Hukuona CDM wakipigia kelele miili inayookotwa baharini, Mwigulu na yule Mpelelezi mkuu wa makosa ya jinai Boaz kasema uchunguzi unaendelea.
 
"The smallest minority on earth is the individual. Those who deny individual rights cannot claim to be defenders of minorities.”
Mimi kwa matazamo wangu Mbowe ni mbinafsi sana na anatumia vurugu aonekana anaonewa na serikali.
Siasa za kutafuta public sympathy sioni future yake.
Asimame kiume atamke " I am stepping down now"
Siasa za Mugabe za ubinafsi tumezichoka, alirithishwa chama na babamkwe sasa sijui CHADEMA atarithishwa nani sasa.
Siasa za Lisu kupigwa risasi ni zaajabu sana. Lisu ni mtu mmoja tu tunasahau wale askali nane waliyopigwa risasi. Tanzania tunaamin Binadamu wote ni sawa why Lisu and not Askari? why maiti za baharini zisizo na ndugu na not askari waliyo na ndugu?

Tuache siasa chafu
Aliyekutuma mwambie sie tuna Imani na mbowe nafasi yake ni muhimu sana kwetu,hayumbishwi,tunawajua sana mnataka wenye viti kama akina prof njaa ambao wananunulika,ndani ya mioyo ya watz ufuasi umeongezeka kuliko unavyofikiria,hawa wanaonunuliwa tunawatakia maisha mema,tutabaki wazalendo wanaoitakia nchi hii mema,full stop
 
Tunaotaka atoke ni sie wana chama. Si kila kitu mnawasingizia Lumumba
Alituingiza chaka 2015 kwa tamaa za kipumbavu kabisa.
Tukapoteza muelekeo na sasa tunatafutiza visingizio ili tuendelee kuwepo.
CHADEMA hatukuwa hivi.
Hahahahaaaaaaa, nani atakuamini n'a ID yako fake ?
 
Taarifa "RASMI" ndo ipi hiyo?
Chama kimeuzwa live tunaona.
Na sote tukashuhudia kupotea kwa agenda hapohapo, halafu unadai kuna taarifa RASMI?
Hebu iweke hapa basi. Au ni siri yenu?
Ulieshuhudia tuwekee clip
 
Mbowe kawa AGENDA ccm.
Mbowe hajawa agenda CCM hata siku moja na wala hana impact yoyote. Hapa watu wanamuongelea aondoke kwa vile yeye anahubiri demokrasia wakati li chama lake halina hio kitu. Anahubiri uhuru wa kutoa maoni wakati kwenye li chama la ufipa hakuna huo uhuru. Watu tunaokosoa tunataka chagadema yenye nguvu sio hii inayoendeshwa kwa ruzuku na upigaji.
 
Mbowe hajawa agenda CCM hata siku moja na wala hana impact yoyote. Hapa watu wanamuongelea aondoke kwa vile yeye anahubiri demokrasia wakati li chama lake halina hio kitu. Anahubiri uhuru wa kutoa maoni wakati kwenye li chama la ufipa hakuna huo uhuru. Watu tunaokosoa tunataka chagadema yenye nguvu sio hii inayoendeshwa kwa ruzuku na upigaji.



Ukishapevuka kisiasa ndo uniquote.


Siasa za ukabila/dini ni Siasa zilizofilisika.

PILI PILI USIO KULA INAKUWASHA NINI??? sio maneno yangu ni maneno ya WAHENGA.
 
"The smallest minority on earth is the individual. Those who deny individual rights cannot claim to be defenders of minorities.”

Mimi kwa matazamo wangu Mbowe ni mbinafsi sana na anatumia vurugu aonekana anaonewa na serikali.

Siasa za kutafuta public sympathy sioni future yake. Asimame kiume atamke " I am stepping down now"

Siasa za Mugabe za ubinafsi tumezichoka, alirithishwa chama na babamkwe sasa sijui CHADEMA atarithishwa nani sasa.

Siasa za Lisu kupigwa risasi ni zaajabu sana. Lisu ni mtu mmoja tu tunasahau wale askali nane waliyopigwa risasi. Tanzania tunaamin Binadamu wote ni sawa why Lisu and not Askari? why maiti za baharini zisizo na ndugu na not askari waliyo na ndugu?

Tuache siasa chafu
nyie washamba wa kalomije embu tulieni huko Mbowe he is a voice of people sio mumiani wenu mnyonya damu wenu huyo wa magogoni
 
Mbowe hajawa agenda CCM hata siku moja na wala hana impact yoyote. Hapa watu wanamuongelea aondoke kwa vile yeye anahubiri demokrasia wakati li chama lake halina hio kitu. Anahubiri uhuru wa kutoa maoni wakati kwenye li chama la ufipa hakuna huo uhuru. Watu tunaokosoa tunataka chagadema yenye nguvu sio hii inayoendeshwa kwa ruzuku na upigaji.
mbona mna vyupi vinawabana munaanzisha thread Zaidi ya mia kiboko yenu anayewabananisha ndio huyo hakuona choo cha kuvuta alivyofika chuo kikuu kama washamba wenu
 
"The smallest minority on earth is the individual. Those who deny individual rights cannot claim to be defenders of minorities.”

Mimi kwa matazamo wangu Mbowe ni mbinafsi sana na anatumia vurugu aonekana anaonewa na serikali.

Siasa za kutafuta public sympathy sioni future yake. Asimame kiume atamke " I am stepping down now"

Siasa za Mugabe za ubinafsi tumezichoka, alirithishwa chama na babamkwe sasa sijui CHADEMA atarithishwa nani sasa.

Siasa za Lisu kupigwa risasi ni zaajabu sana. Lisu ni mtu mmoja tu tunasahau wale askali nane waliyopigwa risasi. Tanzania tunaamin Binadamu wote ni sawa why Lisu and not Askari? why maiti za baharini zisizo na ndugu na not askari waliyo na ndugu?

Tuache siasa chafu

Mkuu hata Sizonje hana tofauti na ulichoandika hapa!! Aruhusu kukosolewa na atambue kuwe yeye sio mdogo wake Yesu!! Pia unapoandika jitahidi kuwa huru kiakili, akili yako imenasa mahali! Jaribu kuchunguza ilipo nasa ili uwe huru.
 
THANK YOU Sir. There is nothing more to add.

Bastard retard
Nyerere Yule mwanzilishi wa chama chenu alikaa 1954 hadi 1990s. Look back and argue! Mnajitoa akili kwa sababu ya njaa zenu!! Na Magufuli kishajua weakness yenu!

Mmemshinwa Mbowe.
 
“One of the penalties of refusing to participate right way politics is that you end up being governed by your inferiors Mbowe.”
Plato

Plato hakuwahi kusema kitu kama hiki!! Hiyo quotation haipo popote kwenye maandiko ya Plato. Labda kama umewasiliana na mzimu wake ukakuambia!!
 
..
"The smallest minority on earth is the individual. Those who deny individual rights cannot claim to be defenders of minorities.”

Mimi kwa matazamo wangu Mbowe ni mbinafsi sana na anatumia vurugu aonekana anaonewa na serikali.

Siasa za kutafuta public sympathy sioni future yake. Asimame kiume atamke " I am stepping down now"

Siasa za Mugabe za ubinafsi tumezichoka, alirithishwa chama na babamkwe sasa sijui CHADEMA atarithishwa nani sasa.

Siasa za Lisu kupigwa risasi ni zaajabu sana. Lisu ni mtu mmoja tu tunasahau wale askali nane waliyopigwa risasi. Tanzania tunaamin Binadamu wote ni sawa why Lisu and not Askari? why maiti za baharini zisizo na ndugu na not askari waliyo na ndugu?

Tuache siasa chafu
bila kusahau ndugu zetu waliouwawa kibiti,..
 
Ni kweli. Mbowe alikuwa vizuri sana kabla hajafika bei 2015.
Ila baada ya hapo ni yeye huyohuyo kakifikisha chama katika aibu hii tuliyonayo leo.
Chama hakijulikani kinasimamia nini. Agenda walishamuuzia Lowasa 2015
Huyo lowasa aliuziwa shilingi ngapi? Na je aliuziwa chama kama taasisi nini? Kama chama hakina kinachosimamia sawa? Mbona wabunge wake ndio wanaoongoza kukamatwa
 
"The smallest minority on earth is the individual. Those who deny individual rights cannot claim to be defenders of minorities.”

Mimi kwa matazamo wangu Mbowe ni mbinafsi sana na anatumia vurugu aonekana anaonewa na serikali.

Siasa za kutafuta public sympathy sioni future yake. Asimame kiume atamke " I am stepping down now"

Siasa za Mugabe za ubinafsi tumezichoka, alirithishwa chama na babamkwe sasa sijui CHADEMA atarithishwa nani sasa.

Siasa za Lisu kupigwa risasi ni zaajabu sana. Lisu ni mtu mmoja tu tunasahau wale askali nane waliyopigwa risasi. Tanzania tunaamin Binadamu wote ni sawa why Lisu and not Askari? why maiti za baharini zisizo na ndugu na not askari waliyo na ndugu?

Tuache siasa chafu
Paskali Ndege nadhani ubongo wako during embryology ulikuwa molded kwenye njia ya haja kubwa na hivyo kuna latent viral infections inayo impair reasoning! Unisamehe please
 
"The smallest minority on earth is the individual. Those who deny individual rights cannot claim to be defenders of minorities.”

Mimi kwa matazamo wangu Mbowe ni mbinafsi sana na anatumia vurugu aonekana anaonewa na serikali.

Siasa za kutafuta public sympathy sioni future yake. Asimame kiume atamke " I am stepping down now"

Siasa za Mugabe za ubinafsi tumezichoka, alirithishwa chama na babamkwe sasa sijui CHADEMA atarithishwa nani sasa.

Siasa za Lisu kupigwa risasi ni zaajabu sana. Lisu ni mtu mmoja tu tunasahau wale askali nane waliyopigwa risasi. Tanzania tunaamin Binadamu wote ni sawa why Lisu and not Askari? why maiti za baharini zisizo na ndugu na not askari waliyo na ndugu?

Tuache siasa chafu
Kwa akili yako unaamini kabisa kuwa hizo maiti zilizookotwa baharini hazina ndugu?! Kama hawakuwa na ndugu, walikujaje duniani. Maana ni lazima wawe ni watu wasio na baba wala mama, shangazi wala mjomba, dada wala kaka, bibi wala babu, unaweze kuongeza list kadiri uwezavyo. Hii maana yake ni kuwa hawana hata ukoo. Hiki ndicho unachoamini?! Ama kweli vituko havitakaa viishe. Ndugu wa mtu kutopatikana haimaanishi kuwa mtu hana ndugu, bali ni kwamba hawajajitokeza.
Kuhusu suala la kwanini lisu na wi wengine? Ukweli ni kuwa wote tumeshuhudia mwitikio wa serikali baada ya askari wetu hao kuuawa. Vikosi vilipelekwa kule na hata wahalifu wengine waliuwawa na askari. Huo ulikuwa ni muitikio sahihi sana. Sasa niambie, kwa shambulio la Lissu ni nani amekamatwa au kuuawa mpaka sasa? Kikubwa tunachosikia ni kuwa mpaka arudi mwenyewe ili aisaidie polisi. Na kama angekufa je nani angekamatwa kama kweli kukamatwa kwa wahusika kutawezekana tu kwa msaada wake?! Ukiyachukulia yaha mambo bila ushabiki wa kisiasa unaweza uyaelewa vizuri, lakini ukiwa politically biased, huwezi toa uamuzi mzuri.
 
Back
Top Bottom