Kabachubya
Member
- Oct 6, 2009
- 87
- 10
Jamani tutafika kweli?
Mimi naweza nikawapongeza ma DR kwa njia moja ya kuamuwa nao kuingia kwenye siasa na propaganda za kukubali wanachokisema wanasiasa ya kua wapo kazini lakini kwa hali halisi si kweli. Sasa hivi muhimbili hata panadol unaambiwa ukanunue.
Nikija kwenye vyombo vya habari ndio nachoka kabisa, hapo ndio nakiri kuwa tanzania hakuna proffesional kabisa, afisa habari ya Muhimbili anawaambia waandishi wa habari kuwa huduma zimerejea kama kawaida na wewe na camera yako unammurika basi unachukuwa bahasha yako unaondoka. Hata kusema upite wodini kuongea na wagonjwa hata wawili kupata ukweli ?
Mimi naweza nikawapongeza ma DR kwa njia moja ya kuamuwa nao kuingia kwenye siasa na propaganda za kukubali wanachokisema wanasiasa ya kua wapo kazini lakini kwa hali halisi si kweli. Sasa hivi muhimbili hata panadol unaambiwa ukanunue.
Nikija kwenye vyombo vya habari ndio nachoka kabisa, hapo ndio nakiri kuwa tanzania hakuna proffesional kabisa, afisa habari ya Muhimbili anawaambia waandishi wa habari kuwa huduma zimerejea kama kawaida na wewe na camera yako unammurika basi unachukuwa bahasha yako unaondoka. Hata kusema upite wodini kuongea na wagonjwa hata wawili kupata ukweli ?