Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,900
Tunapoambiwa siasa sasa basi lakini kwa CCM ni sahihi inazidi kuleta ukakasi haya ni mapekezi ya Mwenyekiti mstafu wa CCM Jakaya Mrisho Kikwete leo Chalinze.
Lakini kuna Habari mbunge Cecilia Pareso, Mwenyekiti na Naibu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Karatu wanatakiwa kufika kituoni polisi kutoa maelezo kwanini walifanya mikutano ya siasa kweli inazidi kuwa na ukakasi. Swali hizi figisu figisu na double standard.
Lakini kuna Habari mbunge Cecilia Pareso, Mwenyekiti na Naibu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Karatu wanatakiwa kufika kituoni polisi kutoa maelezo kwanini walifanya mikutano ya siasa kweli inazidi kuwa na ukakasi. Swali hizi figisu figisu na double standard.