kitendo cha wanaume kukodolea sana wanawake hasa warembo ndo tatizo linalowaingiza wanaume wengi kwenye matatizo, leo nawapa siri yangu inayonifanya nisianguke kwenye tamaa za mara kwa mara, siangalii mwanamke mara mbili, hata akiwa mzuri namna gani, nikimuona mara ya kwanza sigeuzi tena shingo kwake. Unajua nini, ukigeuza tena utajikuta unaanza kutamani ana figure nzuri, mara macho yake noma na hata wale wapenda mizigo mikubwa utasema lile ---- noma, huo ndo mwanzo wa tamaa na matatizo.
Mimi simwangalii hata mara moja
Huangalii mara mbili sio kwa sababu hizo ulizotoa ila ni sababu una high (ly) cramming capacity...so mara moja kwako ushapata image yote
acha dhana.
Niwie radhi nimekusahihisha, ondoa kilicho kwenye mabano.
hupatagi mfadhaiko weye?
Mimi simwangalii hata mara moja
embu nigongee kama 5 hivi mkuu!
mfadhaiko wa nin? fahari ya macho haifirisi duka best!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1
Suala la kupata au kutopata mfadhaiko ni uamuzi wa mtu.......
Hata sasa hivi nikitaka kupata mfadhaiko kwa kutazama tu avatar yako napata
Watu wanadhani hilo ni jambo linalotokea tu hivihivi bila kujua sababu ni wao wenyewe
Hata mwanamke akae uchi wa mnyama kama sijataka kusisimkwa sisisimkwi kabisa
I can control my feelings and my body
Am not an animal...!!!!!!!
Mi naendaga bichi naangalia wala hakuna matatizo yoyote ninayoyapata!!
mwenzio siwezi kuangalia youtube, kisimu changu hakina uwezo.
Macho yangu umeyaona? angalia avatormkuu usemalo mdomoni na lililopo machoni tofautiiiii kabisa.........
Acha basi uongo lolll
Macho yangu umeyaona? angalia avator
mkuu hapo tunaita "umechapia"
Hakuna mtu ana uwezo wa kufanya uyasemayo! Unless labda sio mwanamme kamili.
Mwanamke akae uchi mbele yako na wewe usipate hisia zozote?
Hapo mkuu mi nakishauri ukamuone daktari. Manake ukichelewa sana ile maneno inaweza kusala kabisa!