wewe wanawake bonge la burudaniiii....tena wakivaa hivi vicondom wanaviiata leggings ndio toba yalaaaa!!!
Jamaa atakuwa ana matatizo. Badala ya kuangalia utukufu wa Mungu eti anaangalia pembeni. Watu wengine bana.
Kitendo cha wanaume kukodolea sana wanawake hasa warembo ndo tatizo linalowaingiza wanaume wengi kwenye matatizo, leo nawapa siri yangu inayonifanya nisianguke kwenye tamaa za mara kwa mara, siangalii mwanamke mara mbili, hata akiwa mzuri namna gani, nikimuona mara ya kwanza sigeuzi tena shingo kwake. Unajua nini, ukigeuza tena utajikuta unaanza kutamani ana figure nzuri, mara macho yake noma na hata wale wapenda mizigo mikubwa utasema lile ---- noma, huo ndo mwanzo wa tamaa na matatizo.
Mi naendaga bichi naangalia wala hakuna matatizo yoyote ninayoyapata!!
mmmmh!!!
hupatagi mfadhaiko weye?
Tena wewe nikibahatika kukutana wewe, ntakuangalia mpaka upate mimba. Mi penda sana totoz walah. Mungu ashukuriwe kwa uumbaji wake mantashau.
Jamaa atakuwa ana matatizo. Badala ya kuangalia utukufu wa Mungu eti anaangalia pembeni. Watu wengine bana.
una hataree mpaka mimba?????hahaa
babu fahari ya macho haifilisi duka ila inapausha.
Jamaa atakuwa ana matatizo. Badala ya kuangalia utukufu wa Mungu eti anaangalia pembeni. Watu wengine bana.