Siamini Kwamba Rais wangu can be this cheap

Siamini Kwamba Rais wangu can be this cheap

Mjenda Chilo

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2011
Posts
1,471
Reaction score
526
Kwenye baadhi ya vyombo vya habari eti Wema Sepetu (mama maskendo) ana mgeni wake mcheza sinema wa Nigeria eti amepata apoitment ya kwenda Ikulu na huyo mgeni wake wadiscus maendeleo ya filamu nchini. Siamini, Hivi kweli Rais atadiscus nini? basata, wizara husika wako wapi? muacheni rais ashughulikie mambo makuu. Huyu role model wa waasherati ndo aende pale mahali patakatifu? ni wachumi na watu wangapi wenye michango hawapati nafasi hiyo? siamini kama mwenyeji wao atakuwa presda. siamini na nabisha hizo radio zimedanganya.
 
Kwenye baadhi ya vyombo vya habari eti Wema Sepetu (mama maskendo) ana mgeni wake mcheza sinema wa Nigeria eti amepata apoitment ya kwenda Ikulu na huyo mgeni wake wadiscus maendeleo ya filamu nchini. Siamini, Hivi kweli Rais atadiscus nini? basata, wizara husika wako wapi? muacheni rais ashughulikie mambo makuu. Huyu role model wa waasherati ndo aende pale mahali patakatifu? ni wachumi na watu wangapi wenye michango hawapati nafasi hiyo? siamini kama mwenyeji wao atakuwa presda. siamini na nabisha hizo radio zimedanganya.

Politics is all about popularity Mjenda Chilo
 
Last edited by a moderator:
You better believe! Huyu jamaa alitakiwa atafutiwe kazi Hollywood, si magogoni.
 
Humjui JK kwa cheap popularity. hapo yeye anaangalia kupiga picha tu. UDHAIFU HUO.
 
Kweli au mnaongea tu? Siwezi kuamini kuwa Rais hana kazi za kufanya na kuamua kukutana na Wema na Omotola, tuache kuanzisha vitu ambavyo vitafanya wananchi watushangae

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
what a chance to be with wemasepetu eeh!
 
Kwenye baadhi ya vyombo vya habari eti Wema Sepetu (mama maskendo) ana mgeni wake mcheza sinema wa Nigeria eti amepata apoitment ya kwenda Ikulu na huyo mgeni wake wadiscus maendeleo ya filamu nchini. Siamini, Hivi kweli Rais atadiscus nini? basata, wizara husika wako wapi? muacheni rais ashughulikie mambo makuu. Huyu role model wa waasherati ndo aende pale mahali patakatifu? ni wachumi na watu wangapi wenye michango hawapati nafasi hiyo? siamini kama mwenyeji wao atakuwa presda. siamini na nabisha hizo radio zimedanganya.

Ikulu mahali patakatifu, na hayo mapepo yaliyojaa huko je?!
 
Kama nikweli basi naunga mkono kauli ya Mnyika 200% maana awali niliunga mkono 100%
 
What a historical accident to have such weak president as John Mnyika rightly put it! Kikwete na washauri wake wanakwepa mambo mazito na kuyafanya mepesi mazito na mazito mepesi ukiachia mbali ya hovyo kuwa muhimu na muhimu kuwa hovyo. Tunahitaji rais ikulu na si mpenda sifa na mambo ya udoho udoho kama huyu.Baada ya hapo kama Vicky Kamata utasikia Wema ni mbunge!
 
dhaifu kaona chance ya kukutana na wema hiyo hapo usikute akawe 2nd lady wetu maana jamaa na yeye mh!
 
kwa nini tunakosa uadilifu jamani! mbona mbowe anachezesha disco bilicanas!? mnajua ufuska uliopo bilkanas!? mbona hilo hamsemi! mbunge wangu wa kawe (mimi nipo mikocheni) halima mdee mbona ni mume wa esther bulaya mwanamke mwenzake! sugu mbona amempora jafaria mkewe shyrose banji (wameishi miaka 8 thts y namuita mke) na kupewa jukwaa bilicanas kumtukana jafarai matusi ya nguoni hali ya kuwa ni mbunge wa watu wenye heshima zao wa mbey mjini! slaa mbona alimuiba mke wa mtu na amemzalisha mtoto. yuko na huyo kimada hadi leo!


tunaelekea kwenye siasa za kijinga sasa. Omotola ni msani mkubwa africa ktk tasnia ya filamu. wema ametumia mgongo wa omotola kwenda ikulu. pana ubaya gani! rais lazima awavute vijana na wasanii. jueni kuwa wema ana nguvu sana kwa vijana masharobaro na masista duu. wakimuona model wao wema ikulu wataipenda ccm. jk anatumia siasa



tuna tatizo la ajira nchini. omotola kualikwa ikulu kutamfruhisha sana. akiombwa siku zijazo kushirikiana na mtz ktk filamu atakubali ili kulipa fadhila. tuache kumddhalilisha rais wetu. tuwe waungwana. kama kuna uongo kuhusu niliyoyaandika kuhusu mbowe, mdee, sugu na slaa, naomba nikosolewe.
 
Kwenye baadhi ya vyombo vya habari eti Wema Sepetu (mama maskendo) ana mgeni wake mcheza sinema wa Nigeria eti amepata apoitment ya kwenda Ikulu na huyo mgeni wake wadiscus maendeleo ya filamu nchini. Siamini, Hivi kweli Rais atadiscus nini? basata, wizara husika wako wapi? muacheni rais ashughulikie mambo makuu. Huyu role model wa waasherati ndo aende pale mahali patakatifu? ni wachumi na watu wangapi wenye michango hawapati nafasi hiyo? siamini kama mwenyeji wao atakuwa presda. siamini na nabisha hizo radio zimedanganya.

Chadema hao wametumia watu wao waliopo Ikulu kumruhusu Wema Sepetu kukutana na rais wetu, kisha wapate mahali pakumtukania kwa kumita, "Rais Kikwete ni dhaifu." Nape NNauye.
 
Hayo ndo nayafit kwa Rais wetu. Ukitaka kujua Rais wetu anapenda sana mambo kama hayo sikiliza anapoongea na Wazee wa Dar usikilize jinsi anavyopigiwa vigelegele na wa mama na yeye anaongea kama yuko kwenye sherehe za mdundiko anasahau kuwa anahutubia taifa
 
Anataka kusalimiana na omotola (mama wa wototo wanne na ameolewa na mwanajeshi) anadhani yule muigizaji kutoka nigeria ni dhaifu wa......... Kama wakina wema sepetu?
 
Kwani Rais haruhusiwi kukutana na ww, hat jioni amalizapo kz?
Kuna Marais walifanya Mbinguni, wakaja wengine wakapafanya kijiwe cha wafanyabiashara wa bara Asia, ikaja wafanyabiashara wa madini na zawadi zau za mabonge ya dhahabu.
Leo unataka Ikulu Wapinzani wasiende kunywa juice
 
Back
Top Bottom