Siamini kama Natumia Halotel

Siamini kama Natumia Halotel

Mwana Ukoo

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2016
Posts
252
Reaction score
422
Wakuu Nilitoka kidogo kwa muda kama wa miezi sita hvi sasa leo nimerejea hapo Nyumbani kusabahi ndugu jamaa na rafki na kujumuika nao holiday hii wakati naondoka halotel ilikuwa ni H+ plus muda wote, na speed ya kueleweka sasa tangu jana naona ni 3G na H tu isio na speed yani very slow mpaka najiuliza kunani hawa wavetinam au ulikuwa moto wa mabua tu?
 
Toa laini iangalie fresh unaeza kuta ya tigo... Me mbn halotel niko katikati ya mji ila napata huduma fresh tuuuu hapa namalizia ku download window 10 yangu ina 3 gb
 
mazee ka cja actvate account ya halo pesa mtu akintumia ela kutoka mtandao mwngne si naweza enda onyesha message kwa wakala kisha anitoe?? maana arusha nlkua nafanya hivo sa nipo dar nahofia itabuma
 
Toa laini iangalie fresh unaeza kuta ya tigo... Me mbn halotel niko katikati ya mji ila napata huduma fresh tuuuu hapa namalizia ku download window 10 yangu ina 3 gb
Naona unafurahisha genge? Halotel hamna kitu kwa sasa ktk Internet. Na hii ni kwa sehemu nyingi hapa nchini. Wasiporekebisha mitambo yao kuendana na ongezeko la wateja wa huduma zao hali itazidi kuwa mbaya. Itabidi turudi tulikotoka'
 
Halotel naona walitoa ofa mwanzo mwanzo saiv hamna kitu kabisa mwendo wa kobe
 
Sio bure mtakua mmetumwa na Voda nyinyi sisi wengine ndio tumeipenda hiyo halotel
 
me hadi nimeamua kuipaki laini hiyo nimerudi voda kwanza japo voda wana gharama kubwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom