Halotel kifurushi chao cha usiku kipo slooooooooooooooooooooooowwwwww sana,ila mida ya alfajiri kina spidi nzuri tu. Naomba wadau mnijuze kuhusu Yatosha Nights ikoje???? Download speed yake ni kb/s ngapi????
Jana nimeweka bando la 500.mb 250.nikatumia nikazima data.asubuhi SAA 12 kasoro nafungua data naangalia Salio ni mb 108,nikatumia kidogo wakalamba mb zote.
Mimi nasubiri kifurushi chao cha mwezi kiishe nirudi zangu voda. Hopeless sana nyie watu halotel, hakuna tofauti ya network ya mjini na ya kijijini.
kuna wakati hata kutuma picha whatsapp zinagoma. nimewavumilia sana hamvumiliki!
zamani hallotel tulivyokuwa wachacge spidi ilokuwa ni kimbunga, saizi imekuwa kama gombania goli maana tumejaa sana nimerudi vodacom ingawa airtel ndo wanaeleweka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.