Siamini....Bibi kumbe member JF!!

Asprin

JF-Expert Member
Mar 8, 2008
68,012
95,358
Wajukuu zangu kwa ujumla salamu,

Napenda kuwafahamisheni wajukuu watiifu na wakorofi kwa ujumla kuwa bibi yenu ni member wa JF lakini babu mimi sikuwa najua....Leo ndio nimejua rasmi.

Sasa wale mabinti mliokuwa mnaniPM kuhusu mambo ya kudumisha mila kaeni chonjo, mwenye nyumba yuko sebuleni. Msimwambie yale mambo ya ISC tafazali, alikuwa hajajiunga wakati nikiwa mfadhili mkuu wa chama.

Bibi popote ulipo nakuomba ujitambulishe wajukuu wakujue.

Wenu katika kuijaza dunia

Babu Aspirin a.k.a Big Braza ODM
Kaunta ya Juu Club Etienne's
Boko- Basihaya.
 
Wajukuu zangu kwa ujumla salamu,

Napenda kuwafahamisheni wajukuu watiifu na wakorofi kwa ujumla kuwa bibi yenu ni member wa JF lakini babu mimi sikuwa najua....Leo ndio nimejua rasmi.

Sasa wale mabinti mliokuwa mnaniPM kuhusu mambo ya kudumisha mila kaeni chonjo, mwenye nyumba yuko sebuleni. Msimwambie yale mambo ya ISC tafazali, alikuwa hajajiunga wakati nikiwa mfadhili mkuu wa chama.

Bibi popote ulipo nakuomba ujitambulishe wajukuu wakujue.

Wenu katika kuijaza dunia

Babu Aspirin a.k.a Big Braza ODM
Kaunta ya Juu Club Etienne's
Boko- Basihaya.


Babu bana..........every single post of your's make me drop a single smile...

Haya sasa bibi in da house kazi ipo, ngumi za keyboard lazime zipigwe humu.....anyway, Babu naomba nipe mamlaka yako niwe mlinzi wako wa karibu wasije kukuingilia na kumtibua bibi...........hope bibi nae ata-approve

Msalimie bibi................Plz bibi come out quick wajukuu tunataka kukupata
 

Babu bana..........every single post of your's make me drop a single smile...

Haya sasa bibi in da house kazi ipo, ngumi za keyboard lazime zipigwe humu.....anyway, Babu naomba nipe mamlaka yako niwe mlinzi wako wa karibu wasije kukuingilia na kumtibua bibi...........hope bibi nae ata-approve

Msalimie bibi................Plz bibi come out quick wajukuu tunataka kukupata


Usijali mkuu.....tumeshafikia maafikiano na bibi. Atajitokeza hapa.

Kuhusu ulinzi, unatumia silaha gani? Babu anaiamini manati kuliko bastola.
 
hahahaha!

kumekucha na makucha yake....

niliamua kuhamishia laptop usalule kwa kuliogopa hilo hilo..........
 
hahahaha!

kumekucha na makucha yake....

niliamua kuhamishia laptop usalule kwa kuliogopa hilo hilo..........

Na wewe hukwepi kwa kuwa anakujua Teamo Ti

Habarr lazima zifike kwa Mshikiz na Ankal.

Mwokozi wa ndoa, mwenyekiti wa ISC ndoa yake iko mikononi mwa Esijii
 
Usijali mkuu.....tumeshafikia maafikiano na bibi. Atajitokeza hapa.

Kuhusu ulinzi, unatumia silaha gani? Babu anaiamini manati kuliko bastola.


A lot of catapult babu, zimejaa na za kila dizaini...........usijali maana mimi nipo kwenye kundi la wajukuu watulivu, full respect

Kuna watu kama nawaona walivyouma meno...ngrrrrrrrrrr!!!! hahaaa
 
Na wewe hukwepi kwa kuwa anakujua Teamo Ti

Habarr lazima zifike kwa Mshikiz na Ankal.

Mwokozi wa ndoa, mwenyekiti wa ISC ndoa yake iko mikononi mwa Esijii

ahahahaha!

aisee hebu ingia fb tuchat kidogo....(mods mnisamehe kidogo,sina namna kwakweli)
 
A lot of catapult babu, zimejaa na za kila dizaini...........usijali maana mimi nipo kwenye kundi la wajukuu watulivu, full respect

Kuna watu kama nawaona walivyouma meno...ngrrrrrrrrrr!!!! hahaaa

Hahahaha...wajukuu watukutu wameingia mitini.

Na wale mabingwa wa infidelity wamekihama chama chao....Bibi anawajua wake zao na alivyo mwepesi wa kuchonga mdomo.....Habari lazima zifike majumbani kwao.
 
Hahahaha...wajukuu watukutu wameingia mitini.

Na wale mabingwa wa infidelity wamekihama chama chao....Bibi anawajua wake zao na alivyo mwepesi wa kuchonga mdomo.....Habari lazima zifike majumbani kwao.


Hivi babu si ulikuwa potential figure wa hili li chama la ma-infiii? au ulikuwa kule kwa ma-anti-infiiii!??
 
Asprin+!!!????.................now i can see re-branding everywhere.........i used to Asprin and now it is "+", what is that, is it + Bibi or? hahaaaaaa

Hahahaha kamanda...keep on watching.....wait for the surprise! Hutaamini!!
 
Back
Top Bottom