Siafiki suala ka KUOMBA Train Used - Uingereza

Siafiki suala ka KUOMBA Train Used - Uingereza

FUSO

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2010
Posts
36,509
Reaction score
45,123
Kuna habari kwamba serikali yetu ya Jamhuri ya Tanzania imeiangukia ile ya Uingeleza (iliyotutawala miaka hiyo) watusaidie kutupatia mabehewa na vichwa vya train ambavyo hawavitumii.

Napata shida mno kuliafiki jambo hili, hivi ni kweli kabisa kwa karne hii ya 21 ya Sayansi na Technologia bado tunaomba vitu ambavyo wenzetu wameziona havifai kutumika kwa wananchi wao ila sisi ndiyo tunaona vinatufaa?

Kwa raslimali tulizonazo lukuki tunashindwa kujenga reli ya kisasa ya takribali km 1200 tu? naongelea hii moja tu ya Dar es salaam hadi Mwanza.

Je kuna haja ya kujivunia Uhuru wetu ambao umetimiza miaka 51 kama hata kujenga Reli ya km 1200 hatuwezi kuijenga?. maana hii tunayoitumia walitujengea Wajerumani enzi za utawala wao wa Tanganyika miaka takribani 100 na ushee iliyopita.

Je nikisema watanzania tunajiaibisha wenyewe na tunaziaibisha pia nchi za ki- africa kwa kuendekeza omba omba - yaani kutembeza BAKULI kwa wazungu nitakuwa nimekosea?

Hebu tufumbuane macho kama wazo hili lina mashiko.
 
Kama suti tulipewa why not Treni na mabehewa??huo ndo uwezo wa kufikiria wa mkuu wa nchi,,sidhani kama mwakyembe aliafiki hilo!!!
 
Inaumiza sana kuona tunaenda kuomba vitu ambavyo wenzetu hawana haja navyo,ningeona la maana kama tungeomba kujengewa reli mpya na treni mpya,kwa hili tunadharauliwa sana na hawa wazungu
 
Inaumiza sana kuona tunaenda kuomba vitu ambavyo wenzetu hawana haja navyo,ningeona la maana kama tungeomba kujengewa reli mpya na treni mpya,kwa hili tunadharauliwa sana na hawa wazungu
mkuu naona na wewe unaendeleza haya haya tunayosema hayafai - kwa nini UOMBE!! hakuna njia nyingine ya kupata unachokitaka hadi UOMBE!!
 
Kuna habari kwamba serikali yetu ya Jamhuri ya Tanzania imeiangukia ile ya Uingeleza (iliyotutawala miaka hiyo) watusaidie kutupatia mabehewa na vichwa vya train ambavyo hawavitumii.

Napata shida mno kuliafiki jambo hili, hivi ni kweli kabisa kwa karne hii ya 21 ya Sayansi na Technologia bado tunaomba vitu ambavyo wenzetu wameziona havifai kutumika kwa wananchi wao ila sisi ndiyo tunaona vinatufaa?

Kwa raslimali tulizonazo lukuki tunashindwa kujenga reli ya kisasa ya takribali km 1200 tu? naongelea hii moja tu ya Dar es salaam hadi Mwanza.

Je kuna haja ya kujivunia Uhuru wetu ambao umetimiza miaka 51 kama hata kujenga Reli ya km 1200 hatuwezi kuijenga?. maana hii tunayoitumia walitujengea Wajerumani enzi za utawala wao wa Tanganyika miaka takribani 100 na ushee iliyopita.

Je nikisema watanzania tunajiaibisha wenyewe na tunaziaibisha pia nchi za ki- africa kwa kuendekeza omba omba - yaani kutembeza BAKULI kwa wazungu nitakuwa nimekosea?

Hebu tufumbuane macho kama wazo hili lina mashiko.

Kama mabehewa na Injini za zamani za Uingereza zimekaa bure na kumaliza space kwa nini wasitafute eneo la DAMPO maana wao ardhi ni ndogo, Sasa mmeelewa zile ahadi zakujenga reli standard gage ilikuwa fix tu ya MKULU A KAYA. UMEONA EEH EEH.

Hizo ndo será za Magamba utaichoka CCM wewe tu!!!!!
 
Tumesikia leo serikali ya tanzania imeomba vichwa na mabehewa ya treni yaliyo tumika nchini uingereza, tena wanasemaa! Ambavyo hamtumii, ajabu sana huu si umasikini wakutupwa kabisa. Watanzania tumefikia hapo kweli na tunajua viongozi ni matajiri sana yaani wanaiba mpaka serikari inakosa hata hela ya kununua mabehewa ya treni? Alooo, inauma sana tanzania oyee
 
Tumesikia leo serikali ya tanzania imeomba vichwa na mabehewa ya treni yaliyo tumika nchini uingereza, tena wanasemaa! Ambavyo hamtumii, ajabu sana huu si umasikini wakutupwa kabisa. Watanzania tumefikia hapo kweli na tunajua viongozi ni matajiri sana yaani wanaiba mpaka serikari inakosa hata hela ya kununua mabehewa ya treni? Alooo, inauma sana tanzania oyee

Mkuu, mbona magari yote mnayoagiza Japan ni used lakini yakifika hapa mnasema amenunua gari jipya?
 
Kuna vitu vingine hata vikiwa used vinakuwa na manufaa. Ndo maana hata Dr Slaa karibu wachumba zake wote ni used lakini wanamfaa
 
Kuna vitu vingine hata vikiwa used vinakuwa na manufaa. Ndo maana hata Dr Slaa karibu wachumba zake wote ni used lakini wanamfaa
she n zi type! mburula original! mambo ymsingi unachangia kwa joke!pharon!!:tonguez:
 
Kuna vitu vingine hata vikiwa used vinakuwa na manufaa. Ndo maana hata Dr Slaa karibu wachumba zake wote ni used lakini wanamfaa

Inawezekana una kichwa kikubwa kama fenesi lakini ndani ukawa na ubongo mdogo kama wa ndege tongwa lol..
 
Mkuu, mbona magari yote mnayoagiza Japan ni used lakini yakifika hapa mnasema amenunua gari jipya?

Kuna vitu vingine hata vikiwa used vinakuwa na manufaa. Ndo maana hata Dr Slaa karibu wachumba zake wote ni used lakini wanamfaa

Wakati mwingine jitahidi kutumia akili na ni vema sio kila kitu lazima uchangie, kwa hali ilivyo sasa kwa nchi yetu na ukiangalia rasilimali tulizonazo kitendo kinachofanywa cha kuomba vitu chakavu ni AIBU isiyovumilika, uchakavu wa CCM sio ndio utuletee Vichwa na mabehewa CHAKAVU
 
Tumesikia leo serikali ya tanzania imeomba vichwa na mabehewa ya treni yaliyo tumika nchini uingereza, tena wanasemaa! Ambavyo hamtumii, ajabu sana huu si umasikini wakutupwa kabisa. Watanzania tumefikia hapo kweli na tunajua viongozi ni matajiri sana yaani wanaiba mpaka serikari inakosa hata hela ya kununua mabehewa ya treni? Alooo, inauma sana tanzania oyee

wakati mwingine huwa nashangaa hawa viongozi wetu huwa wanawaza nini na kama kuna wakati huwa wanapoteza utimamu.yaani achilia kuwa used ni yale ambayo hata cruising worthness yake imeshakwisha.yaani anaomba vitu rejected.wonders shall never end.sasa huyoni rais cjui mawaziri wakienda kuomba huwa wanafanyaje.naamini huwa wanagala gala chini wanalia ili wapewe
 
Kuna habari kwamba serikali yetu ya Jamhuri ya Tanzania imeiangukia ile ya Uingeleza (iliyotutawala miaka hiyo) watusaidie kutupatia mabehewa na vichwa vya train ambavyo hawavitumii.

Napata shida mno kuliafiki jambo hili, hivi ni kweli kabisa kwa karne hii ya 21 ya Sayansi na Technologia bado tunaomba vitu ambavyo wenzetu wameziona havifai kutumika kwa wananchi wao ila sisi ndiyo tunaona vinatufaa?

Kwa raslimali tulizonazo lukuki tunashindwa kujenga reli ya kisasa ya takribali km 1200 tu? naongelea hii moja tu ya Dar es salaam hadi Mwanza.

Je kuna haja ya kujivunia Uhuru wetu ambao umetimiza miaka 51 kama hata kujenga Reli ya km 1200 hatuwezi kuijenga?. maana hii tunayoitumia walitujengea Wajerumani enzi za utawala wao wa Tanganyika miaka takribani 100 na ushee iliyopita.

Je nikisema watanzania tunajiaibisha wenyewe na tunaziaibisha pia nchi za ki- africa kwa kuendekeza omba omba - yaani kutembeza BAKULI kwa wazungu nitakuwa nimekosea?

Hebu tufumbuane macho kama wazo hili lina mashiko.

Katika nchi ambayo watu wanavaa chupi za mitumba hilo sioni kama kitu cha ajabu. Mkuu, pia kumbuka kuwa mwaka jana au juzi kulikuwa na mjadala mkali sana bungeni wakati serikali ikitaka kubadili sheria ili waweze kuruhusiwa kuagiza magari yaliyotumika. Mpaka wakati huo, sheria ya manunuzi ilikuwa wazi kuwa magari na mitambo iliyotumika haiwezi kuagizwa na serikali.

Mimi naamini hivyo vichwa na mabehewa ya treni na hasa kama itakuwa ni msaada, inaweza kusaidia japo kwa muda maana hali ni mbaya reli ya kati. Inaelekea sio kipaumbele cha mkuu wa kaya kutengeneza reli ya kati. Hiyo mpya ya Kenya mpaka Rwanda na hatimaye Burundi itaisha wakati sisi tumefumba macho.

Kama kuna sumu ya maendeleo, hakuna inayozidi ufisadi. Kwa makusudi kabisa reli inauwawa ili magari yao yafanye kazi. Juhudi zao kwenye barabara usidhani ni kwa manufaa ya nchi (hiyo ni collateral benefit). Akili yao ipo kwenye magari yao!
 
HAYA YATAISHA TU.... VERY SOON...

jinsi yatakavyoisha.... ni kitendawili... ole wao walio katika upande ule wenye lawama.. ole wao.
 
Mbona makomeo na sindilia used tunazikubali. By the way, zitakuwa na hali nzuri kuliko hizo za Mwakyebe na TRC ..... Toka lini Tanzania tukaona aibu kwa kufanya Umatonya!!
 
Kama suti tulipewa why not Treni na mabehewa??huo ndo uwezo wa kufikiria wa mkuu wa nchi,,sidhani kama mwakyembe aliafiki hilo!!!

Soma kitabu kimeandikwa "How Europe Under developed Afrika". Cha Walter Rodney. Utajua kwanini aliamua kuomba msaada wa tren chakavu.
 
Soma kitabu kimeandikwa "How Europe Under developed Afrika". Cha Walter Rodney. Utajua kwanini aliamua kuomba msaada wa tren chakavu.
NiNalifanyia kazi ombi lako niambie ukurasa wa ngapi,,by the way swala la kuomba treni chakavu haiitajia kusoma hata darasa moja hasa hasa kwa public use,,,unajua waingereza wameandika nini kuhusu hilo??
 
Back
Top Bottom