Siafiki suala ka KUOMBA Train Used - Uingereza

Siafiki suala ka KUOMBA Train Used - Uingereza

mkuu naona na wewe unaendeleza haya haya tunayosema hayafai - kwa nini UOMBE!! hakuna njia nyingine ya kupata unachokitaka hadi UOMBE!!
Unadhani hata nikikataa Rais asiombe unadhani ataacha?Toka awe Rais fikra ya maendeleo ya nchi hii iliyo katika kichwa chake ni kuomba na huwezi kumgeuza hata kidogo,kwa kuwa hawezi kubadilika basi heri kumshauri namna ya kuomba maana anavyoomba havina maana,ukiona mtu anakwambia hajui kwanini yeye ni masikini wakati ana rasirimali nyingi kwake ujue hilo ni tatizo kubwa.
 
Mkuu, mbona magari yote mnayoagiza Japan ni used lakini yakifika hapa mnasema amenunua gari jipya?
Wananunua, hawaombi msaada! Lakini pengine la kujiuliza ni kuwa jirani zetu wmeshaanza kujenga ya kwao, sisi tunaomba mabehewa na vichwa vilivyokwisha acha kutumika!
 
Back
Top Bottom