mkuu nishamcheki jamaa anasema wameamua kutumia kazi ni kwako!!!yaani ni wewe tu!!mmmmh!hebu ngoja nijaribu kumbip JK ntarudi na jibu sasa hivi!!!!
mkuu nishamcheki jamaa anasema wameamua kutumia kazi ni kwako!!!
yaani ni wewe tu!!
Duh, kweli wamekaaa kimipasho mipasho Mpwa, yaani unasema baada ya jamaa kuanzisha Ari zaidi, Nguva zaidi na Kasi zaidi, ndiyo jamaa wakaamua kumjibu kuwa "kazi ni Kwako" ok , ok, well noted MpwaKazi ni kwako ni kaulimbiu ya ccm magamba (kundi la Lowassa) ili kuijibu ile
ya JK.
haaaa yaani kumbe ndo hivyo! au mnajaribu kuchemsha vichwa tuu! lakini ni kweli! KAZI NI KWAKO!Kazi ni kwako ni kaulimbiu ya ccm magamba (kundi la Lowassa) ili kuijibu ile
ya JK.
ahahahaaaa, asante sana nimefurahi kwa hiri ri-observation rako....hapo naona kama vile kwenye Avatar umejifunga kanga....waweza sema hio imeandikwaje???Mkuu kanga zipo na ujumbe "Tujivue magamba", Je UMELIONA GAMBA LANGU JE LAKO, nA Kama gamba kulivua raisi jaribu nawewe..
Ndo ujumbe unaopatikana kwenye kanga
kwa kweli hata mimi sina jibu maana kaja nazo nyingi kiasi kwamba kama ni chama basi watakuwa na "ofisi" mahususi kwa ajili ya mambo na kazi hiyo peke yake ila kama ni yeye basi ni kama mjumbe alivyopendekeza kuwa aingie kwenye kitabu cha wavumbuzi...........Hivi kauli mbiu ndio ilikuwa sera ya Mzee au ndio ilikuwa ilani yake ya Uchaguzi au yalikuwa maneno ya kuadaa Panzi?!
ahahahaaaa, asante sana nimefurahi kwa hiri ri-observation rako....hapo naona kama vile kwenye Avatar umejifunga kanga....waweza sema hio imeandikwaje???