Si ujinga kuuliza

Si ujinga kuuliza

tundijr

Member
Joined
Jul 30, 2013
Posts
13
Reaction score
1
Viongozi wa kimataifa wamegundua nini Mbona wanaandamana kuja kusaini mikataba hapa bongo jamani nisalama lakini?:A S-fire1:
 
Mimi mwenyewe nimejiuliza sana.......leo kaondoka waziri mkuu wa Thailand.......next week anakuja Queen Elizabeth......
 
Una mabinti wazuri kwako ukiona vijana wanazengea kwako usijiulize wanafata nini
 
Bongo kichwa cha mwendawazimu, kila mtu akitaka kujifunza kunyoa anakipitia tu, unaambiwa ni moja kati ya nchi ambayo waasia na wazungu wanakuja maskini wanaondoka matajiri wa kutupwa!
 
Wameona siasa safi.

Kama mali zilikuwepo enzi na enzi na walikuwa wanajuwa kuwa zipo, lakini siasa mbovu za kudhulumu (kutaifisha) za Nyerere ndio zilizowafanya wasije tena mpaka sasa Kikwete alivyoweka mambo sawa.

Hizo ni faida za safari za Kikwete. Bila wawekezaji nchi haitoendelea. Hata nchi tajiri zaidi yetu duniani zinahaha kutafuta wawekezaji.

Hongera sana Kikwete.
 
Wameona siasa safi.

Kama mali zilikuwepo enzi na enzi na walikuwa wanajuwa kuwa zipo, lakini siasa mbovu za kudhulumu (kutaifisha) za Nyerere ndio zilizowafanya wasije tena mpaka sasa Kikwete alivyoweka mambo sawa.

Hizo ni faida za safari za Kikwete. Bila wawekezaji nchi haitoendelea. Hata nchi tajiri zaidi yetu duniani zinahaha kutafuta wawekezaji.

Hongera sana Kikwete.

Nazidi kuamini kuwa huwezi kuwa CCM bila kuwa chizi kidogo!
 
Ushawah kusikia sehemu zenye viwanja vya bure watu wanavyokimbilia? Ndo tz sasa

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
WANAWEKA MAZINGIRA YA KUVUNA RESOURCES ZA TANZANIA, KABLA CDM HAIJASHIKA DOLA 2015. uJINGA HUU HAUTAKUWEMO KWENYE SERIKALI YA CDM IKIWA NA KAMANDA LISU KAMA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA NA MWANASHERIA MKUU. WAJANJA WANATAKACHUKUA CHAO MAPEMA.
 
Wameona siasa safi.

Kama mali zilikuwepo enzi na enzi na walikuwa wanajuwa kuwa zipo, lakini siasa mbovu za kudhulumu (kutaifisha) za Nyerere ndio zilizowafanya wasije tena mpaka sasa Kikwete alivyoweka mambo sawa.

Hizo ni faida za safari za Kikwete. Bila wawekezaji nchi haitoendelea. Hata nchi tajiri zaidi yetu duniani zinahaha kutafuta wawekezaji.

Hongera sana Kikwete.

Shule ndogo ni sumu. Wewe subiria tu muda si mrefu utaelewa kinachoendelea.
 
Shule ndogo ni sumu. Wewe subiria tu muda si mrefu utaelewa kinachoendelea.

Nisubiri nini wewe? hao wanapigana vikumbo kwa fursa zilizopo Tanzania, kuna nini zaidi ya wao kutaka mikataba ya Gas, Madini, Mafuta? na kuwekeza kwa makapuni yao ya ku support hizo industry yasibughudhiwe.

Hivi kama hamna faida kwao watakuja? halafu, wewe Mtanzania una teknoloji ipi ya kuchimba gas au mafuta au madini? ni lazima waje ukitaka usitake.
 
Back
Top Bottom