Si tumekatazwa mikusanyiko???

Si tumekatazwa mikusanyiko???

Kajole

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2011
Posts
1,668
Reaction score
1,660
Naona kuna watu hawataki kutii hii amri ya serikali
FB_IMG_15882363779526458.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mikusanyiko Isiyokuwa ya lazima ngoja tumalizie kuzika kwanza tutatawanyika tukimaliza.
 

Attachments

  • IMG_20200420_115457.jpg
    IMG_20200420_115457.jpg
    296.1 KB · Views: 9
Hao watakuwa majambazi wa kwenye bongo muvi wanapiga tukio hawanaga mazoea ya kuingia ndani na viatu kwenye enea la tukio
 
Tulianza na Nissan nyeusi, sasa ni viatu vyeusi...rangi nyeusi Mungu anakuona ujue!!
 
Back
Top Bottom