Mkuu unajidanganya, kuwa na tech siyo kuwa hela inapungua kwenye kutengeneza ndege zako kuna kufanya research, ni lazma uwe na uchumi unao eleweka israel nchi ndogo sanaMkuu hizo story tu! mtu ukiwa na technology yako gharama za kutengeneza kitu zinaweza kuwa ndogo zaidi hamna taifa lisilohitaji kuwa na uwezo wake binafsi--kama wangekuwa na uwezo wa kugundua technologia mbalimbali wangetumia uwezo huo toka miaka hiyo kutengeneza vitu vyao wenyewe
Silence is wisdom....Ngoja nikae kimya nielimishwe
The most technological country in ze world is Japan....na waliona mbali kuiwekea vikwazo vya kujiendeleza kijeshi otherwse angekuja kufanya revenge isiyo tarajiwa duniani.Wengi wetu tunajua kuwa mataifa yenye nguvu na teknolojia za kijeshi na kivita ni Marekani,Urusi na China! ila ukweli wengi mtakubaliana nami kuwa taifa lenye teknolojia kubwa zaidi duniani ni Israel! hili ni taifa ambalo lipo kimya sana lakini hakuna awezaye kujikanyaga! wengi mtakubali kuwa Marekani anategemea teknolojia za vita kutoka Israel ndo kinachompa nguvu na jeuri kubwa!
Kwa kuwa una uhakika na ukisemacho, tunaomba data zilizokamilika kuthibitisha hoja yakoWengi wetu tunajua kuwa mataifa yenye nguvu na teknolojia za kijeshi na kivita ni Marekani,Urusi na China! ila ukweli wengi mtakubaliana nami kuwa taifa lenye teknolojia kubwa zaidi duniani ni Israel! hili ni taifa ambalo lipo kimya sana lakini hakuna awezaye kujikanyaga! wengi mtakubali kuwa Marekani anategemea teknolojia za vita kutoka Israel ndo kinachompa nguvu na jeuri kubwa!
umesemema,lakini na uasili wao(sema kidogo,please tuambie kwa uasili wao(race/jamii)Hizi story za kahawa na kashata.
Marekani kila mara anampa msaada Israel wa vifaa vya kijeshi ambapo Israel anavitumia hivyo hivyo au anavimodify.
Eti Israel iko kimya, sasa kama iko kimya wewe umejuaje kuhusu uwezo wake?
Ebu tutajie hizo teknolojia ambazo Marekani anategemea?
Najua utaanza taja wayahudi walioko Marekani ambao wameshiriki au kugundua vitu wakiwa kama raia wa Marekani.
Usisahau Marekani imejumuisha watu wa mataifa mbalimbali pia kuna wanasayansi kule ambao wamegundua vitu vingi chimbuko lao ni china, india, germany, africa, russia etc
Kaka Marekani anamuhitaji Israel sio sababu ya technology ila kwa sababu ya kuweza ku control middle east tu. Hakuna kingine.Israel ndiyo nchi inayo ongoza kuwa na tecn kubwa dunia kuizidi nchi yeyote,
Israel uchumi wake hauwezi kumwezesha kutengeneza ndege au vifaa vya kijeshi vinavyo hitaji bajeti kubwa, akivumbua techn mpya ya kijeshi anamuuzia marekani, mfano hizo ndege ulizo ziorodhesha hapo juu, ni techn ya Israel, Marekan anainunu wanatengeneza kwa hela zake halafu wanakuja kumuuzia Israel,
Hizo ndege kama hiyo F-15, ikisha fika Israel itaenda kubadilishwa techn yote, mfumo mzima unabadilishwa na kuiboresha, F-15 iliyopo israel na f-15 hiyo hiyo ikiwa Marekani hazifanani kitechnologia
ulisha wahi kujiuliza kwanini Marekani anailinda Israel kuliko kitu chochote?
Bila Israel hakuna Marekani, Marekani inaendeshwa na Waisrael, Marekani anamuhitaji Israel kuliko Israel anavyo muhitaji Marekani...
Toa ushahidi khs hiloWengi wetu tunajua kuwa mataifa yenye nguvu na teknolojia za kijeshi na kivita ni Marekani,Urusi na China! ila ukweli wengi mtakubaliana nami kuwa taifa lenye teknolojia kubwa zaidi duniani ni Israel! hili ni taifa ambalo lipo kimya sana lakini hakuna awezaye kujikanyaga! wengi mtakubali kuwa Marekani anategemea teknolojia za vita kutoka Israel ndo kinachompa nguvu na jeuri kubwa!
Huu ndiyo ukweli kabisa.Kaka Marekani anamuhitaji Israel sio sababu ya technology ila kwa sababu ya kuweza ku control middle east tu. Hakuna kingine.
Huyu Hezbola ni nani? Ni nchi gani pale masahariki ya kati. Kila nikiangalia ramani mimi sioni Nchi inaitwa Hezbola. Isije ikawa ni kikundi cha kigaidi kama ilivyo Boko Haram, Al-Shabab, ISIS na wengineo. Tusije tukawa tunakuja huku kwenye platform ya great thinkers na mawazo ya kishabiki tu kuonesha jinsi tulivyo na ubongo mdogo.Hezbolla ndio muarobaini wa israel
Usiisingizie bangi wala haifanyia hayo uliyoyasema ni starehe kama ilivyo sigaraUmetoka kuvuta bangi ukaingia Google unaona tu mambo yapo kinyumenyume
Mkuu bado unarudia mule mule, pale Israel technologia ya ulinzi iliyopo pale siyo ya kawaida ndiyo inayo wawezesha kuwa safe, ndiyo maana nikasema hamna nchi yenye techn za juu kama Israel, kama isingekuwa hivyo, Wapalestina&co ungekuta walisha ifuta IsraelKaka Marekani anamuhitaji Israel sio sababu ya technology ila kwa sababu ya kuweza ku control middle east tu. Hakuna kingine.
Porojo Za maskani.Israel ndiyo nchi inayo ongoza kuwa na tecn kubwa dunia kuizidi nchi yeyote,
Israel uchumi wake hauwezi kumwezesha kutengeneza ndege au vifaa vya kijeshi vinavyo hitaji bajeti kubwa, akivumbua techn mpya ya kijeshi anamuuzia marekani, mfano hizo ndege ulizo ziorodhesha hapo juu, ni techn ya Israel, Marekan anainunu wanatengeneza kwa hela zake halafu wanakuja kumuuzia Israel,
Hizo ndege kama hiyo F-15, ikisha fika Israel itaenda kubadilishwa techn yote, mfumo mzima unabadilishwa na kuiboresha, F-15 iliyopo israel na f-15 hiyo hiyo ikiwa Marekani hazifanani kitechnologia
ulisha wahi kujiuliza kwanini Marekani anailinda Israel kuliko kitu chochote?
Bila Israel hakuna Marekani, Marekani inaendeshwa na Waisrael, Marekani anamuhitaji Israel kuliko Israel anavyo muhitaji Marekani...
israel ni kambi ya jeshi la marekani iliyoko uarabuni .Mkuu bado unarudia mule mule, pale Israel technologia ya ulinzi iliyopo pale siyo ya kawaida ndiyo inayo wawezesha kuwa safe, ndiyo maana nikasema hamna nchi yenye techn za juu kama Israel, kama isingekuwa hivyo, Wapalestina&co ungekuta walisha ifuta Israel
Mkuu embu nitajie nchi inayoongoza kuwa techn dunianiPorojo Za maskani.