mbalizi1 JF-Expert Member Joined Dec 16, 2015 Posts 21,955 Reaction score 43,393 Mar 27, 2018 #101 Kasie said: Niaje? Mguno mkubwa huoo unahitaji maelezo hehehehee. Click to expand... Poa Kiasali, nimejikuta naguna baada ya kupitia maelezo yako mujarabu
Kasie said: Niaje? Mguno mkubwa huoo unahitaji maelezo hehehehee. Click to expand... Poa Kiasali, nimejikuta naguna baada ya kupitia maelezo yako mujarabu
Kasie Platinum Member Joined Dec 29, 2013 Posts 22,801 Reaction score 43,185 Mar 27, 2018 #102 mbalizi1 said: Poa Kiasali, nimejikuta naguna baada ya kupitia maelezo yako mujarabu Click to expand... Taratibu... unaweza ukajing'ata halafu ukajikuta unaghairisha safari ya Tabora hehee.
mbalizi1 said: Poa Kiasali, nimejikuta naguna baada ya kupitia maelezo yako mujarabu Click to expand... Taratibu... unaweza ukajing'ata halafu ukajikuta unaghairisha safari ya Tabora hehee.
mbalizi1 JF-Expert Member Joined Dec 16, 2015 Posts 21,955 Reaction score 43,393 Mar 27, 2018 #103 Kasie said: Taratibu... unaweza ukajing'ata halafu ukajikuta unaghairisha safari ya Tabora hehee. Click to expand... Ahahahahhahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa Kiasali baaaana umenichekesha sana daaaaaah! safari ni kuomba uzima tu Kasie kiasali
Kasie said: Taratibu... unaweza ukajing'ata halafu ukajikuta unaghairisha safari ya Tabora hehee. Click to expand... Ahahahahhahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa Kiasali baaaana umenichekesha sana daaaaaah! safari ni kuomba uzima tu Kasie kiasali
Kasie Platinum Member Joined Dec 29, 2013 Posts 22,801 Reaction score 43,185 Mar 27, 2018 #104 mbalizi1 said: Ahahahahhahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa Kiasali baaaana umenichekesha sana daaaaaah! safari ni kuomba uzima tu Kasie kiasali Click to expand... Amina, panapo majaaliwa uzima na afya safari itakuwepo vyema tuu.
mbalizi1 said: Ahahahahhahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa Kiasali baaaana umenichekesha sana daaaaaah! safari ni kuomba uzima tu Kasie kiasali Click to expand... Amina, panapo majaaliwa uzima na afya safari itakuwepo vyema tuu.
ERoni JF-Expert Member Joined Jan 9, 2013 Posts 52,602 Reaction score 119,753 Mar 27, 2018 #105 Sakayo said: Hapana Lazima nifute mchumba!! Click to expand... Mahaba yako hadi raha mchuchu wangu
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,463 Mar 27, 2018 #106 Eli79 said: Mahaba yako hadi raha mchuchu wangu Click to expand... Furahi tuu mwaya, maisha yenyewe mafupi mchumba!
Eli79 said: Mahaba yako hadi raha mchuchu wangu Click to expand... Furahi tuu mwaya, maisha yenyewe mafupi mchumba!
Neybright JF-Expert Member Joined Feb 1, 2017 Posts 5,692 Reaction score 14,484 Mar 27, 2018 #107 Patience123 said: Niliosha sana tu, tena kwa mahaba,mwishowe akaona kama ni kazi yangu na ikichelewa kuoshwa anakuwa mkali. Nikaacha kimya kimya,na yeye akagoma kunifundisha kuendesha. Click to expand...
Patience123 said: Niliosha sana tu, tena kwa mahaba,mwishowe akaona kama ni kazi yangu na ikichelewa kuoshwa anakuwa mkali. Nikaacha kimya kimya,na yeye akagoma kunifundisha kuendesha. Click to expand...