Si hamu ikanishika bwana ๐Ÿ˜‰ - njoo tuzogoe!

Si hamu ikanishika bwana ๐Ÿ˜‰ - njoo tuzogoe!

Mama sijui shida nn ipa nikikojoa huku panauma nakua kama nakojoa moto ๐Ÿ”ฅ ๐Ÿ”ฅ ๐Ÿ”ฅ
Ooooh ๐Ÿคฆโ€โ™€๏ธ ๐Ÿ˜‚
Ushapewa gono la bei ya asubuhi, mpaka wakuchome sindano za shingo ndiyo upone ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Yaani unasoma visa humu hadi mnafanya sisi Wazee wa mwaka 47 misuli itusimame ๐Ÿค—

Kweli Vijana mnafaidi ๐Ÿ™Œ
 
Pole babu, ila bibi anajua cha kufanya kukutuliza ๐Ÿ˜

Ngoja niwahi kurudi nyumbani leo, maana stori zenu wajukuu zimeshaniletea shida ๐Ÿคช

Wajukuu mnajua kusimulia visa hadi mnafanya Wazee tutamani kupata vibinti vya elfu 2 ๐Ÿคญ

Ni vile tunaogopa kupandisha Visukari na Presha tu ๐Ÿ˜… ๐Ÿ™Œ
 
Ngoja niwahi kurudi nyumbani leo, maana stori zenu wajukuu zimeshaniletea shida ๐Ÿคช

Wajukuu mnajua kusimulia visa hadi mnafanya Wazee tutamani kupata vibinti vya elfu 2 ๐Ÿคญ

Ni vile tunaogopa kupandisha Visukari na Presha tu ๐Ÿ˜… ๐Ÿ™Œ
Babu hebu tulia kwanza, vibinti vya 2,000 na uzee huo vitakuua presha.
Hizo heka heka zao walizosimulia humu utaziweza?
 
Wiki ilikua ndefu hii, alhamdulillah imeisha, nimewamiss, njooni tuzogoe.
  1. Umeshawahi kushikwa na hamu ya kufanya kitu chochote mpaka ikabidi ubadili ratiba yako yote ili tu ukifanikishe?

  2. Wanaume; hivi tukiwapandilia juu wakati wa kula chakula cha wakubwa, tukanengโ€™eneka zile dakika zetu 3, huwa mnajisikia raha au ndiyo ile tu mnatuambia โ€œnjoo juu mpenzi"" ili na wewe ulale kidogo, upumzike?

  3. Ulijuaje kwamba mpenzi wako amefurahia tendo faraghani? alikufanyia nini au alikuambia nini baada ya kumaliza jambo lenu?

  4. Uliza swali lolote kwa yeyote

View attachment 3557640
sisi tukiwa na rufara, bibi anakaza analegea, anakaza analegea. Pili maji maji yanaongezeka na pia utaskia inakubana inakuachia.
Lakini pia utaona nakungangania, nakushika kifua ama kukungata.
 
Babu hebu tulia kwanza, vibinti vya 2,000 na uzee huo vitakuua presha.
Hizo heka heka zao walizosimulia humu utaziweza?
Kwa kweli nimegundua hao mabinti wa elfu 2 wanaweza kunitoa uhai Babu yenu, na hivi gari lenyewe ili liwake dereva miye natakiwa niimbiwe na maiki masaa ya kutosha......

Bora tuendelee kuvuta kiko zetu tu
 
Kwa kweli nimegundua hao mabinti wa elfu 2 wanaweza kunitoa uhai Babu yenu, na hivi gari lenyewe ili liwake dereva miye natakiwa niimbiwe na maiki masaa ya kutosha......

Bora tuendelee kuvuta kiko zetu tu
Daah we babu ni kiboko, kwamba maiki inabidi iimbishwe masaa mangapi ๐Ÿ˜†?
Hawa mabinti wanavyojua kuimba sasa, nina uhakika utakufa kifuani kwa Gen Z na presha ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Daah we babu ni kiboko, kwamba maiki inabidi iimbishwe masaa mangapi ๐Ÿ˜†?
Hawa mabinti wanavyojua kuimba sasa, nina uhakika utakufa kifuani kwa Gen Z na presha ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Bila kuimbishwa na maiki hayo masaa, mnala wa babeli hauwezi kusimama.....๐Ÿ™Œ

Kuogopa kufia kifuani mwa GenZ ndiyo maana nimebaki kucheza na wajukuu tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom