Shuleni mwaka 1930

Shuleni mwaka 1930

Bavaria

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2011
Posts
53,092
Reaction score
53,568
3327858_01nkem_jpeg212c85716630137386bf781dfe841c7c
 
Duh hiyo kali inamaana hiyo ni enzi za Nyerere?
 
Ha ha ha! Wako uchi mbona? Hata teknolojia ya magome ya miti hawakuwa nayo? Anyways, huku Tanzania kuna sehemu hata teknolojia hiyo ya madawati ya mwaka 1930 haijafika, watoto wanasomea chini.
 
Tunaomba kujua ukweli wa hili jambo make mambo mengine ni kama kuidhalilisha serikali na hata wananchi wake.
 
Elimu ilikuwa ngumu sana ila naona madawati yalikuwa yanatosha.

Alafu dunia ya leo watu wazima wanawakalisha watoto chini kwenye vumbi?
2015-1930= 85yrs iliyopita?

CC @Simbachawenen (Waziri Tamisemi)
 
Huyu babu wa nyuma hapa ana kitambi flani. Maisha yalikuwa mazuri saana kwao.

Watoto wa machief tena!
 
Back
Top Bottom