Shule ya wasichana Ruvu imekithiri ukabila na ubabaishaji

Shule ya wasichana Ruvu imekithiri ukabila na ubabaishaji

kisapwi

Member
Joined
Jun 9, 2014
Posts
39
Reaction score
17
Hii ni shule kongwe kwa wanaoifahamu. Ilikuwa na sifa nyingi miaka ya nyuma. Nakumbuka miaka ile ya mwanzoni 1990 wakati natokea mazengo-high school na kufika maeneo hayo muda wa saa mbili sa usiku na kuona taa zikiwaka kutoka katika jengo hilo. Kwa kweli miaka ile ilikuwa ni ruvu kweli. Hapakuwa na chembe ya ukabila wala walimu/wanafuzi kubaguliwa.

Kwa hakika ilikuwa na maendeleo makubwa kitaaluma. Kwa sasa ni tofauti. Kuanzia mkuu wa shule, walimu wa miradi, makamu wake, muhasibu pamoja na mwalimu wa taaluma ni wa kabila fulani. Mwalimu mkuu alitakiwa kustaaafu kwa mujibu wa sheria lakini mpaka sasa bado yupo. Inasikitisha kuona baadhi ya walimu wa kabila fulani wanafika shuleni mara moja kwa wiki na wanaichi mbagala!. Matokeo ni mabovu ukabila umeimaliza kabisa shule kana kwamba hakuna wasimamizi. Ingekuwa miaka ile ya 1980 au 1990 yasingetokea hayo.

Pesa za miradi mpaka ada za shule zinaliwa kiolela inawafanya wanafunzi waishi maisha magumu na kula kijimlo. Masikini Ruvu girls sio ile ya niliyokuwa naifahamu
 
Umbea umbea mtupu….tutakuaminije??? lete hayo majina ya watu wenye ukabila tuyafanyie kazi
 
shule zote zilizojengwa na Fidel Castro ikiwemo hiyo Ruvu, Kibiti, Kilosa na Ifakara ziko hoi bin taabani
 
Watanzania maisha yetu ni majungu tupu,unaposema kabila fulani ndo kabila gani?
 
Hii ni shule kongwe kwa wanaoifahamu. Ilikuwa na sifa nyingi miaka ya nyuma. Nakumbuka miaka ile ya mwanzoni 1990 wakati natokea mazengo-high school na kufika maeneo hayo muda wa saa mbili sa usiku na kuona taa zikiwaka kutoka katika jengo hilo. Kwa kweli miaka ile ilikuwa ni ruvu kweli. Hapakuwa na chembe ya ukabila wala walimu/wanafuzi kubaguliwa.

Kwa hakika ilikuwa na maendeleo makubwa kitaaluma. Kwa sasa ni tofauti. Kuanzia mkuu wa shule, walimu wa miradi, makamu wake, muhasibu pamoja na mwalimu wa taaluma ni wa kabila fulani. Mwalimu mkuu alitakiwa kustaaafu kwa mujibu wa sheria lakini mpaka sasa bado yupo. Inasikitisha kuona baadhi ya walimu wa kabila fulani wanafika shuleni mara moja kwa wiki na wanaichi mbagala!. Matokeo ni mabovu ukabila umeimaliza kabisa shule kana kwamba hakuna wasimamizi. Ingekuwa miaka ile ya 1980 au 1990 yasingetokea hayo.

Pesa za miradi mpaka ada za shule zinaliwa kiolela inawafanya wanafunzi waishi maisha magumu na kula kijimlo. Masikini Ruvu girls sio ile ya niliyokuwa naifahamu

Wewe unaonekana ni mwalimu, la ajabu ni kwamba umejaa uoga usio na maana yoyote kwa kushindwa kuongea kiuwazi hata hapa jf. Bora ungekaa kimya tu sidhani kama utapata ufumbuzi kwa kufichaficha mambo
 
Wabongo bwana mtu anasema ukwel mnamponda dah!
 
Hii ni shule kongwe kwa wanaoifahamu. Ilikuwa na sifa nyingi miaka ya nyuma. Nakumbuka miaka ile ya mwanzoni 1990 wakati natokea mazengo-high school na kufika maeneo hayo muda wa saa mbili sa usiku na kuona taa zikiwaka kutoka katika jengo hilo. Kwa kweli miaka ile ilikuwa ni ruvu kweli. Hapakuwa na chembe ya ukabila wala walimu/wanafuzi kubaguliwa.

Kwa hakika ilikuwa na maendeleo makubwa kitaaluma. Kwa sasa ni tofauti. Kuanzia mkuu wa shule, walimu wa miradi, makamu wake, muhasibu pamoja na mwalimu wa taaluma ni wa kabila fulani. Mwalimu mkuu alitakiwa kustaaafu kwa mujibu wa sheria lakini mpaka sasa bado yupo. Inasikitisha kuona baadhi ya walimu wa kabila fulani wanafika shuleni mara moja kwa wiki na wanaichi mbagala!. Matokeo ni mabovu ukabila umeimaliza kabisa shule kana kwamba hakuna wasimamizi. Ingekuwa miaka ile ya 1980 au 1990 yasingetokea hayo.

Pesa za miradi mpaka ada za shule zinaliwa kiolela inawafanya wanafunzi waishi maisha magumu na kula kijimlo. Masikini Ruvu girls sio ile ya niliyokuwa naifahamu

Mwalimu Mkuu si ndo mama mmoja anaitwa MPAPALIKA?
 
Mtu analeta fact watu wanaanza kutetea ujinga ndo maana wanasiasa wanaiba pesa za nchi nmekaa kimya kisa mbasubiri ushahidi....mtasubir mpaka yesu arudi
 
Jamaa anasema zamani akiwa anapita pale usiku alikuwa akiona taa zinawaka huku kukiwa hakuna dalili za ukabila, hii ni hoja dhaifu kupindukia. Hivi unaweza kuona ukabila kwa kytazama jengo kwa nje? Pia na hao wanafunzi wanaosoma hapo wanafundishwa kwa upendeleo wa makabila?
 
Walimu wanaajiriwa na serikali au na mkuu wa shule? Je selection ya wanafunzi anafanya mkuu au serikali? Sidhani kama huyo mkuu ana mamlaka na ushawishi huo, kwenye hizi shule kuna majungu sana na roho ya korosho, mleta hoja urudi na uje na uthibitisho wa hoja zako
 
mtoa hoja akajisaidie kwanza,anachafua hali ya hewa
 
Ujinga ni kitu kibaya sana!eti unasema alikuwa anatakiwa kustaafu kwa mujibu wa sheria kwahiyo ameihonga serikali.au.kwaataarifa yk nenda ukaguzi kanda ya.mashariki.uilze ilipokaguliwa mwezi wa keanza ilipata alama ngapi ucpoifuta post yk
 
Unasema shule imeshuka kitaaluma,nimeingia kwenye web ya wizara nahaya ndio matokeo yk one22,two40,three 106,four40,zero6.
 
Back
Top Bottom