Hii ni shule kongwe kwa wanaoifahamu. Ilikuwa na sifa nyingi miaka ya nyuma. Nakumbuka miaka ile ya mwanzoni 1990 wakati natokea mazengo-high school na kufika maeneo hayo muda wa saa mbili sa usiku na kuona taa zikiwaka kutoka katika jengo hilo. Kwa kweli miaka ile ilikuwa ni ruvu kweli. Hapakuwa na chembe ya ukabila wala walimu/wanafuzi kubaguliwa.
Kwa hakika ilikuwa na maendeleo makubwa kitaaluma. Kwa sasa ni tofauti. Kuanzia mkuu wa shule, walimu wa miradi, makamu wake, muhasibu pamoja na mwalimu wa taaluma ni wa kabila fulani. Mwalimu mkuu alitakiwa kustaaafu kwa mujibu wa sheria lakini mpaka sasa bado yupo. Inasikitisha kuona baadhi ya walimu wa kabila fulani wanafika shuleni mara moja kwa wiki na wanaichi mbagala!. Matokeo ni mabovu ukabila umeimaliza kabisa shule kana kwamba hakuna wasimamizi. Ingekuwa miaka ile ya 1980 au 1990 yasingetokea hayo.
Pesa za miradi mpaka ada za shule zinaliwa kiolela inawafanya wanafunzi waishi maisha magumu na kula kijimlo. Masikini Ruvu girls sio ile ya niliyokuwa naifahamu
Kwa hakika ilikuwa na maendeleo makubwa kitaaluma. Kwa sasa ni tofauti. Kuanzia mkuu wa shule, walimu wa miradi, makamu wake, muhasibu pamoja na mwalimu wa taaluma ni wa kabila fulani. Mwalimu mkuu alitakiwa kustaaafu kwa mujibu wa sheria lakini mpaka sasa bado yupo. Inasikitisha kuona baadhi ya walimu wa kabila fulani wanafika shuleni mara moja kwa wiki na wanaichi mbagala!. Matokeo ni mabovu ukabila umeimaliza kabisa shule kana kwamba hakuna wasimamizi. Ingekuwa miaka ile ya 1980 au 1990 yasingetokea hayo.
Pesa za miradi mpaka ada za shule zinaliwa kiolela inawafanya wanafunzi waishi maisha magumu na kula kijimlo. Masikini Ruvu girls sio ile ya niliyokuwa naifahamu