solidgirl
Member
- Aug 9, 2014
- 33
- 18
Habarini wana jamvi. Natarajia kumpeleka kijana wangu wa kiume kuanza kidato cha kwanza utakapoanza mwaka 2017 lakini naomba mchango kuhusu shule hii kwa walio na uzoefu nao najua ni shule ya dini na matokeo ya necta nimejaribu kuangalia kidogo. Nahitaji mchango kwa waliopitapita hapo nachelea kuwa pesa yangu isije potea bure wakati nina uhuru wa kwenda mahala pengine. Karibu mchangie