M Mungumaji Member Joined Oct 14, 2014 Posts 54 Reaction score 4 Mar 8, 2015 #1 Kuna habari zinazagaa hapa mjini iringa kuwa shule ya secondary idodi inawaka moto mda huu, kwa wenye taarifa kamili mtujuze kwani wazazi wanahaha.
Kuna habari zinazagaa hapa mjini iringa kuwa shule ya secondary idodi inawaka moto mda huu, kwa wenye taarifa kamili mtujuze kwani wazazi wanahaha.
Tusker Bariiiidi JF-Expert Member Joined Jul 3, 2007 Posts 5,554 Reaction score 2,158 Mar 9, 2015 #2 Mungumaji said: Kuna habari zinazagaa hapa mjini iringa kuwa shule ya secondary idodi inawaka moto mda huu, kwa wenye taarifa kamili mtujuze kwani wazazi wanahaha. Click to expand... Wanafunzi kadhaa wamejeruhiwa hapo kuna hujuma kwani hii ni mara ya tatu.
Mungumaji said: Kuna habari zinazagaa hapa mjini iringa kuwa shule ya secondary idodi inawaka moto mda huu, kwa wenye taarifa kamili mtujuze kwani wazazi wanahaha. Click to expand... Wanafunzi kadhaa wamejeruhiwa hapo kuna hujuma kwani hii ni mara ya tatu.
Moisemusajiografii JF-Expert Member Joined Nov 3, 2013 Posts 49,734 Reaction score 89,329 Mar 9, 2015 #3 Si bure.Kwani hii shule imejengwa juu ya ziwa la moto?Maana kila mara yenyewe tu kuungua.
Rene Jr. JF-Expert Member Joined Jan 31, 2014 Posts 3,730 Reaction score 2,391 Mar 10, 2015 #5 TENA?!!....eh!
Mr.Junior JF-Expert Member Joined Sep 8, 2013 Posts 12,984 Reaction score 11,794 Mar 10, 2015 #6 Kuna kitu hapo si bure, wahusika wa hiyo shule wakae na wazee wa hapo kijijini waongee nao vizuri.