Shule ya private nzuri A-level yenye michepuo ya sayansi

Shule ya private nzuri A-level yenye michepuo ya sayansi

Twaps

Member
Joined
May 26, 2011
Posts
50
Reaction score
28
Waungwana nina binti yangu kamaliza kidato cha nne mwaka jana 2016,kafaulu vizuri masomo ya sayansi.
Nimeona nijiongeze tu kumpeleka shule ya private kwaajili ya form five.
Nilijitahidi mwezi uliopita kufuatilia marian girls na kandoto girls nikaambiwa walishaanza masomo mwezi wa tatu,sasa nimebaki dillema,sijui shule nyingine nzuri ambayo naweza mpeleka kwa kipindi hiki.
Naomba ushauri na msaada wenu.
 
subiri post zitoke then mwamishie vwawa ya mbeya
 
Jaribu BALBROJAHANSON ya Mhe: Tibaijuka. Inasemekana ni nzuri sn japokuwa Ada Yake pia iPo juu kiasi. Watoto wengi wa Vigogo wapo pale
 
shule nyingi mkuu sema private nyingi wameanza kusoma cheki canossa, marry gorreti, mazinde juu, na kifungilo
 
Kama in sayansi pandahil ila Division One na two.
 
Back
Top Bottom