TULIMAJE
Member
- Jun 14, 2017
- 92
- 51
Shule ya msingi Top Layer Pre &Primary School iliyopo kimara bonyokwa imeshusha ada zake zilizokuwa zikilipwa 1,200,000 kwa Primary na kufikia 850,000 na nursery kutoka 850000 kufikia 500000..malipo haya hufanyika kwa awamu mbili mpaka tatu kulingana na makubaliano baina ya mzazi na uongozi was shule ...walimu wetu wamebobea kwa ufundishaji ..mwaka jana wamefaulu wrote...usafiri upon na hosteli
Karibuni sana mawasiliano 0768412181/0655412181
Karibuni sana mawasiliano 0768412181/0655412181