hiyo NABE 1 ni inahusu nnAchana na habari za kurudia kidato cha nne cha msingi nenda veta kuna kozi inaitwa NABE1 utasoma hiyo ukifaulu unapata kigezo cha kusoma chuo chochote ngazi ya cheti...kuliko kurudia mtihani
ni kozi kwa watu walifika sekondari wakakosa vigezo vya kusoma masomo ya vyuo...vyuo vingi vinahitaji ufaulu wa kuanzia d 4 hivyo mtu aliepata 0 hadi d 3 anakuwa hana vigezo vya kusoma chuo ngazi ya cheti. Ukisom NABE1 unakuwa ni sawa na umerudia mtihani wa kidato cha nne unapata cheti lakini si cheti cha kidato cha nne ni cheti cha Nabehiyo NABE 1 ni inahusu nn
hiko cheti limitation zake ni katika kozi Gani?ni kozi kwa watu walifika sekondari wakakosa vigezo vya kusoma masomo ya vyuo...vyuo vingi vinahitaji ufaulu wa kuanzia d 4 hivyo mtu aliepata 0 hadi d 3 anakuwa hana vigezo vya kusoma chuo ngazi ya cheti. Ukisom NABE1 unakuwa ni sawa na umerudia mtihani wa kidato cha nne unapata cheti lakini si cheti cha kidato cha nne ni cheti cha Nabe
Tembelea tovuti yao huwa wanaweka namba za simu unaweza ukawasiriana nao wakakusaidiahiko cheti limitation zake ni katika kozi Gani?
tovuti ya kina nani?Tembelea tovuti yao huwa wanaweka namba za simu unaweza ukawasiriana nao wakakusaidia
tovuti ya veta.....kwani imekuwa ugomvi....?tovuti ya kina nani?
weka hapa