Shule nzuri kwa wavulana Arusha

Mukulu wa Bakulu

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2014
Posts
4,050
Reaction score
12,967
Natafta shule nzuri ya kumhamishia kijana wangu.

Dogo anategemea kuingia form 3 mwakani
Kwa sasa anasoma Trust St. Patrick School ina kama maendeleo yake hayaridhishi..

Shule nadhani ndio haijajipanga, namtaftia shule nyingine.

Je ni ipi shule nzuri naweza kumpeleka.
 
Tengeru boys..!!!

Kuna mtu kanambia nidham yao imeshuka ila sina uhakika sana kwa biyo hakurecomend nimpeleke pale.

Yeye akanishauri kuhusu arusha modern,siijui vizuri sana hiyo shule.
 
fanya mpango mwanao asome ILBORU maana wako fiti ile mbaya, ila private kwenda government ni mziki mnene, ila ukimpeleka TENGERU BOYS itakuwa pouwa sana maana wao wako fiti kuliko ILBORU na inakuwaga kwenye 20 bora kitaifa
 

Trust St. Patrick Schools mbona wazuri tu angalia isije kuwa tatizo liko kwa upande wako au mtoto...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…